Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una tia huruma kweli!

Diamond ana haki ya kuwa chama chochote kile habari ya kwamba kina kandamiza wanachi hicho kitu mnakiona nyie machadema!

Marekani nchi za watu wenye afya ya akili msanii anasapoti chama akipendacho huwezi kusikia wa chama pinzani wakihamasisha wafuasi wao kumchukia.

Hapa kwetu tumajaa ujinga na unafiki ndio sababu unaona yote haya.

Diamond hata akikosa hiyo tuzo ni kwa sababu kuna mtu amestaili kwa vigezo na si kwa kelel na chuki za wajinga wachache.

Mbona mashabiki wa chadema hawaichukii Simba wakati mdhamini wa MO ni ccm?

Wivu, roho mbaya na umasikini vinaenda sambamba.
Acha kuifananisha marekani na ujinga wa ccm.
 
Niliwahi kusema na narudia tena kusema leo kuwa, "CHADEMA" ni kikundi cha "wahuni".
Sasa hivi hawa wahuni wameacha kufanya siasa zenye tija kwa Watanzania, wanafanya siasa za kuwachafua watu.
Diamond Platinumz akiwa kama Mtanzania huru ana haki na uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa.
Ni haki yake kikatiba kuwa Mwana-ccm na ni haki yake kui-support ccm apendavyo.
Sisi tunapaswa kumpima Diamond Platinumz kwa muziki wake na siyo vinginevyo.
I'll be so surprised if BET organizers will comply with these cyber bullies and ditch Diamond Platinumz.
These so called themselves, "Movement #Change Tanzania" are nothing but cyber bullies and political hooligans.
I believe BET is not a political organization. BET will discerningly and wisely rule out this matter and send a strong message to those cyber bullies who want to tarnish the Image of a talented African artist for their own political agenda.
#IstandwithDiamondPlatinumz
Unateseka ukiwa wapi?
 
Mnatuharibia Taifa letu lenye sifa njema kwa mambo yenu ya kipuuzi.
Ni kama mnaumia na mafanikio yake.
Yaani Taifa limekuwa la chuki,vijicho,fitna.
Kazi mnayo.

At least mngekua mnafatilia vitu vya faida kwa wananchi.
 
Aise mswahili siyo mtu🤣🤣🤣 hiyo kunguni inasagwa hapo twitter kwahuyo bwana siyo ya mchezo
magunia kwa magunia
Total mass destruction siyo poa kabisa kama una moyo wa betri hiyo vita ni kali sana wallah
 
Hata jamaa asiposhinda hii tuzo maisha yake yataendelea wachawi sio lazima wavae vibuyu na kupaa kwa ungo usiku itoshe kusema hawa change Tanzania,maria Tshai,Kigogo na chadema yao wote ni wachawi na wenye roho za chuki kwa kijana au vijana wanaojitafutia rizki kwa nguvu zao.

Kigogo anamchafulia kijana mdogo aliyeamua kujiajiri kwa kuuza sabuni zake kisa tu kumsapoti diamond....na sapoti yenyewe ni kuposti tu hata kura yenyewe hawezi kupiga,hawa jamaa wanaojiita wanaharakati nimewadharau sana kumbe kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti bora sisi ambao hatukusoma hatuwezi kulaumika.

Harakati huwa hazifungamani na upande wowote,husimamia haki na usawa kwa kila mmoja,aibu ni kuona wanaharakati wanapangiana ufuasi wa vyama shenzy kabisa.
 
Back
Top Bottom