Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Ukipambana halafu ukaheshimu hustle za wenzio utapata baraka. Dogo shida dharau kwa wenzie
π™·πšŠπš–πšžπšŽπš•πšŽπš πšŽπš”πš’ πš–πš—πšŠπšœπš’πš–πšŠπš–πš’πšŠ πš πšŠπš™πš’..!! πš”πš’πš•πšŠ πš–πšπšžπš—πšŠ πš•πšŠπš”πšŽ
 
Watanzania mnasahau haraka sana.
Ila hatusahau kamwe

Mwaka Fulani diamond alikuwa anawania tuzo na akina davido watu wakaendesha kampeni Hadi akazipata

Pia kuna mwaka tuzo zile watu wakaenda kampeni Hadi akazikosa

Waliomuinua diamond Ni watu wa mtandaoni maana media zilimfungia vioo clouds na EA radio .

So Kama alipandishwa na watu wa mtandaoni ndio watakaomshusha .
 
Ali side vipi na udhalimu?

Udhalimu upi?
 
Dogo hata mm namkubali ila nimesign petition ili asirudie makosa ya kusupport ukandamizaji
π™°πš˜ 𝚠𝚊𝚝𝚞 πš πšŽπš—πšž πš πšŠπš•πš’πš˜πš”πšŠπš πšŠ πšŠπšπšŠπš’πš—πšœπš πš—πšŠ πš‚πšŽπš›πš’πš”πšŠπš•πš’ 𝚒𝚊 πšŠπš πšŠπš–πšž 𝚒𝚊 5 𝚊𝚝𝚊 𝚝𝚞𝚣𝚘 𝚣𝚊 π™°πšπš›πš’πš–πšŠπš–πšŠ πš£πš’πš—πšŠπš£πš˜πšπš˜πš•πšŽπš πšŠ πš‘πšŠπš™πš˜ πš„πšπšŠπš—πšπšŠ 𝚝𝚞 πš‘πšŠπš πšŠπš“πšŠπš πšŠπš‘ πš”πšžπš£πš’πšœπš‘πš’πš”πšŠ
 
π™±πš›πš˜πšπš‘πšŽπš› πš‘πš’πš’πš˜ πš πšŠπš•πšŠ πšœπš’πš˜ πšœπšŠπš‹πšŠπš‹πšž πš”πšŠπš–πšŠ πšŸπš’πš™πš’ π™²πš‘πšŠπšπšŽπš–πšŠ πš–πšœπš’πš πšŽ πš–πšŠπšœπš‘πšŠπš‹πš’πš”πš’ 𝚠𝚊 πš‚πš’πš–πš‹πšŠ πš–πšŠπšŠπš—πšŠ 𝙼𝙾 πš—πš’ πš–πš πšŠπš—πšŠπšŒπšŒπš–
 
Kwa saizi bado, subiri apite kwenye hizo tuzo ndio utamjua
π™°πšπšŠπšπšŠπš—πš’πšŠ πš—πš—? πš£πšŠπš’πšπš’ 𝚒𝚊 πš”πšžπš πšŠπšŠπš–πš‹πš’πšŠ πš πšŠπšœπšŠπš—πš’πš’ πš πšŽπš—πš£πšŠπš”πšŽ πš πšŠπš™πšŠπš–πš‹πšŠπš—πšŽ πš πšŠπš•πšŽπšπšŽ πšŸπš’πšπšž πš”πšŠπš–πšŠ πš‘πš’πšŸπš˜ πš—πš’πšžπš–πš‹πšŠπš— πšœπš’πš˜ πš”πš’πš•πšŠ πšœπš’πš”πšž πš”πšžπš•πš’πšŠπš•πš’πšŠ
 
Kumbe unajua kuandika....
mzee wa 'noma sana'
 
Diamond sasa hivi hawezi kushushwa na vikampeni uchwara vya akina kigogo
 
Hahahaha, hawa jamaa tangu wawe machawa wa mama akili zao zimeruka,

Walikwepo bungeni, Diamond ndo alizuia Maendeleo majimboni mwao?

Utalikuta limtu lizima kabisa huko liliko limekakomalia kajamaa kadogo, Bahati mbaya zaidi kajamaa kamelizidi pesa, umaarufu, akili na vinginevyo.

Sio lazima kila mmoja awe mwanaharakati uchwara ili kuwafurahisha genge la wahuni fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…