The Eye
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 278
- 393
Upi?Atoke alikuwa anaunga mkono udhalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi?Atoke alikuwa anaunga mkono udhalimu
Naona hadi wa Nigeria wamekuja kusign kama huyo Jacob Kaduma ni Mnaijeria.View attachment 1810502sijui Kama dogo atachomoa.
Kakufanyia udhalimu gani?Anatumia ushawishi wake vibaya,ni vizuri afunzwe adabu Ili na wengine wajifunze kuwa udhalimu haulipi.
Mie nimeingia pale Soma Sana wanachodai. Nikashindwa kusaini ninakumbuka kuwa tusameheane ndio dini yangu ,kumpenda mwenzako Kama unavyojipenda Mana hizo nyumba za ibada huwa siendi kuchangiana hela mkuu.yaani dini ni kumpenda ama kumfanyia mwenzako kama unavyompenda ama navyompenda nifanyiwe. So ukiniuliza mie dini gani ndo jibu languNaona hadi wa Nigeria wamekuja kusign kama huyo Jacob Kaduma ni Mnaijeria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wajinga wa chadema wanafikrii hapo ndio watakuwa wameikomoa ccm
Tunaeza kuchukulia poa kumbe ni noma sanaNaona jamii forum yote imehamia uku kupiga kura.mpka sasa ni 12728View attachment 1810503View attachment 1810506View attachment 1810507 12728
View attachment 1810500
Lissu kasemaKwani kuna viongozi WA chadema waliosema asichaguliwe?
Ni ujinga tu kufikiri CCM itatoka madarakani kwa harakati mbuzi kama hizi.Mie nimeingia pale Soma Sana wanachodai. Nikashindwa kusaini ninakumbuka kuwa tusameheane ndio dini yangu ,kumpenda mwenzako Kama unavyojipenda Mana hizo nyumba za ibada huwa siendi kuchangiana hela mkuu.yaani dini ni kumpenda ama kumfanyia mwenzako kama unavyompenda ama navyompenda nifanyiwe. So ukiniuliza mie dini gani ndo jibu langu
STAMINA si ROSTAM??
aliutosaje?
Yani walikua wanamaanisha kabisa bile hata chembe kwamba hupati kitu.wanarudia kabisa tutahakikisha hupatiMchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
Hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Yani bora uwe na akili za kuku kuliko hawa jamaa zetuHivi kwannini watu wanalenda kuwapangia wenzao maisha???
kila mtu anafanya vitu kwa maslahi yake binafsi, kwahiyo mtu asifanye show ya Ccm akalipwa maisha yake yakaenda kisa anawaogopa Chadema... Hakii kuna watu wana akili za ajabu sijapata kuona aisee [emoji2297]
Kama mnamnyima tuzo mnyimeni ila hii sababu ya kisiasa ni sababu ya kijinga kupata kutokea!!!
Asipopata ni kwa sababu ni tunzo inayogombewa na wengi lakini siyo kwa sababu eti kelele za kina kigogoYani walikua wanamaanisha kabisa bile hata chembe kwamba hupati kitu.wanarudia kabisa tutahakikisha hupati
Mpaka nimeogopa
Kote nenda hadi huko kwenye vikundi vyenu huko Twitter Chadema inapigwa za uso!Halafu ni humu tu jf chadema ndio wanaandamwa
Kaduma ni mhehe.....acha uongoNaona hadi wa Nigeria wamekuja kusign kama huyo Jacob Kaduma ni Mnaijeria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wajinga wa chadema wanafikrii hapo ndio watakuwa wameikomoa ccm
Anyway, ngoja tuone.. umeshamvotia lakini?Atapata tu....amini hivyo
Wananchi wa jangwani..Wanachi wapi?
Kina kigogo?