Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.

Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.

Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .

Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Kabisa
 
Katika huu uzi nimejifunza kitu siwezi kujihusisha na Mambo ya siasa humu JamiiForums kwa sababu nataka kufanya biashara walengwa wakubwa wapo humu JF.

Nikijihusisha na siasa tu nitapoteza wateja wengi; kuna watu wengine wamepoteza wapendwa wao kwa ajili ya siasa sasa nkiegemea upande fulani nitapeperusha wateja bure.

Bora siasa iwe moyoni mwangu sio hadharani
 
Hata mimi, yaani nitafurahi mno akiipata maana nguvu inayotumika kumkandamiza ni kubwa mno sijui wanafaidika na nini?
Aipatie wapi? Ameshalikoroga acha alinywe
 
nyau Mweusi.jpg

😂😂
 
Ni kwavile tu huna akili. Ungekuwa nazo ungejua kwamba inchi kwasasa haina umoja na kilicho poteza umoja ni wapumbavu kama wewe
Inchi =Nchi√
ndio maana nasema kila siku mmelaaniwa na wazazi wenu kamwe lichama haliwezi kufanikiwa..
Hapa kwa diamond mnatengeneza umoja au makundi?
 
Back
Top Bottom