Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Hapati kwa sababu anashinda na mtu mwenye vigezo zaidi yake..Hapati kisa wana twitter?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapati kwa sababu anashinda na mtu mwenye vigezo zaidi yake..Hapati kisa wana twitter?
Halafu imewekwa picha anavalishwa kofia na marehemuView attachment 1810502sijui Kama dogo atachomoa.
Lissu ni marehemu aliyefufuliwa na MunguMungu ameshampa Vikwazo 1.vya kuto kuendelea kuenjoy life katika dunia hii 2. Vijana wake kama huyu Sadala,Sabaya ....na wengine kutoishi maisha ya amani katika siku zao zilizobaki hapa Chini ya jua!! Damu za watu zilizomwaga Zinalia kisasi mbele ya Mungu wao
View attachment 1810469
View attachment 1810471
Nataka kujua hiyo picha nani kaiweka anayovalishwa kofia na kwanini iwe picha iyoNaona jamii forum yote imehamia uku kupiga kura.mpka sasa ni 12728View attachment 1810503View attachment 1810506View attachment 1810507 12728
View attachment 1810500
KabisaKupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.
Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.
Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .
Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Kakomalia chadema tuSoma kilichoandikwa na sababu zao kabla ya kuongea. Labda Ile English uwe huelewei
Nasikia anamtoa marinda mama nyumbani kwenuHapana, kwenye kifua cha mama yako huku kamtawanyia miguu...
Kaduma sio mnaijaNaona hadi wa Nigeria wamekuja kusign kama huyo Jacob Kaduma ni Mnaijeria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wajinga wa chadema wanafikrii hapo ndio watakuwa wameikomoa ccm
Kasema asichaguliwe au alisema kwamba hamuungi mkono?Lissu kasema
Aipatie wapi? Ameshalikoroga acha alinyweHata mimi, yaani nitafurahi mno akiipata maana nguvu inayotumika kumkandamiza ni kubwa mno sijui wanafaidika na nini?
SADALA tena?? 🤣🤣CHADEMA washenzi. Leave sadala alone mbona mna wivu mbaya hivyo kisa kanunua gari kali mmeumia sana daah kisingizio masuala ya kisiasa
Muda sana mzee babAnyway, ngoja tuone.. umeshamvotia lakini?
Kwanza kuupanda huo mlima wa wiz kid na burna boy ni mtihani halafu inakuja petition ,asahau kabisa hiyo tuzoAipatie wapi? Ameshalikoroga acha alinywe
Inchi =Nchi√Ni kwavile tu huna akili. Ungekuwa nazo ungejua kwamba inchi kwasasa haina umoja na kilicho poteza umoja ni wapumbavu kama wewe