Diamond Platinumz na kauli za kutatanisha katika “ reality show” ya Young, Famous and African

Diamond Platinumz na kauli za kutatanisha katika “ reality show” ya Young, Famous and African

Sasa Cha ajabu nini?
View attachment 2155876

Msikilize mwenyewe:

View attachment 2155877

Akaulizwa: How old are you?

Diamond: 31st

😎

View attachment 2155876

Msikilize mwenyewe:

View attachment 2155877

Akaulizwa: How old are you?

Diamond: 31st

😎
Sasa Cha ajabu nini hapo,Mond kuchapia kizungu?kwani kizungu kimemsaidia nini mpaka hapo alipofika?aliishia la saba!!lakini ameajiri akina nyie wenye mashahada yenu na vizungu vyenu kama vya mamtoni!sasa nani anafaida kwenye Dunia,nyie mnaojua kizungu lakini hamjatengeneza hata ajira ya genge,na huyu mtoto wa tandale anayetoa ajira kwa kaka na dada,baba zenu,
Kwa ufupi tu,aliwahi kufanya sherehe ya kuzaliwa ya mtoto wake akatumia 50M!
Hicho kiasi ni kiinua mgongo Cha mtumishi wa umma aliyefsnya kazi miaka 40!!!
Hamtakiwi kushangaa Mond kuchapia kizungu!shangaeni inakuwaje wahitimu wa vyuo wanaajiliwa na mtoto wa darasa la saba!!hapo ndio Kuna tatizo,msikwepe!!tafakari,Mond,rayvsn,kiba,zuchu,jux Hawa vijana wanapesa ndefu kuliko wahitimu wa vyuo vikuu wanaotafuta ajira,Richa ya kuwa na vizungu viiiiingi
 
Sasa Cha ajabu nini?



Sasa Cha ajabu nini hapo,Mond kuchapia kizungu?kwani kizungu kimemsaidia nini mpaka hapo alipofika?aliishia la saba!!lakini ameajiri akina nyie wenye mashahada yenu na vizungu vyenu kama vya mamtoni!sasa nani anafaida kwenye Dunia,nyie mnaojua kizungu lakini hamjatengeneza hata ajira ya genge,na huyu mtoto wa tandale anayetoa ajira kwa kaka na dada,baba zenu,
Kwa ufupi tu,aliwahi kufanya sherehe ya kuzaliwa ya mtoto wake akatumia 50M!
Hicho kiasi ni kiinua mgongo Cha mtumishi wa umma aliyefsnya kazi miaka 40!!!
Hamtakiwi kushangaa Mond kuchapia kizungu!shangaeni inakuwaje wahitimu wa vyuo wanaajiliwa na mtoto wa darasa la saba!!hapo ndio Kuna tatizo,msikwepe!!tafakari,Mond,rayvsn,kiba,zuchu,jux Hawa vijana wanapesa ndefu kuliko wahitimu wa vyuo vikuu wanaotafuta ajira,Richa ya kuwa na vizungu viiiiingi
Nakazia
 
Kwa ufupi tu,aliwahi kufanya sherehe ya kuzaliwa ya mtoto wake akatumia 50M!
Hicho kiasi ni kiinua mgongo Cha mtumishi wa umma aliyefsnya kazi miaka 40!!!
Hamtakiwi kushangaa Mond kuchapia kizungu!shangaeni inakuwaje wahitimu wa vyuo wanaajiliwa na mtoto wa darasa la saba!!hapo ndio Kuna tatizo,msikwepe!!tafakari
 
Diamond kingereza alifundishwa chumbani na sio darasani so kubali kukosea kupo na hajui.kuna mtu kweli unajua shule ipo hata akitumia neno tunajua lina maana nyingi sasa huyu alisomea wapi? Kingereza alifundishwa na wema, zari, na tanasha so hicho kinatosha kabisa kuongea bila makosa?

Unajua mtu msomi ambae hajiamini kwenye lugha anatumia maneno simple ili aeleweke. Amesema 'am a player" ilikuwa inatosha mambo ya kuongeza maneno mengine wajue kaiva hayana maana.
Ulisikia lile neno "about it " alivyolitamka "abauri ir" 😂 yaani anajaribu kuslay kama mmarekani bahati mbaya ndio hivyo ulimi mzito....angeongea tu English yetu ya kibantu shega tu, mbona wanaigeria,wakenya wanastyle ya English Yao hadi wasanii wakubwa wanaishi nayo
 
Wote nyie mnapoteza muda wenu kwa mambo yasiyo na msingi kwenye maisha yenu

Tabia za kumcheka mtu akikosea kusema au kuandika kiingereza mmetoka nazo shule na kuziendeleza huku mtaani

Huku mkiwa mmesahau hii ni lugha ya kigeni na moja kati ya lugha ngumu zaidi kujifunza duniani iwe kwa kuandika na kuisema

Nguvu hii ya kukosoa kiingereza cha mtu ingekuwa inatumika kwenye maendeleo yetu binafsi, basi kama taifa tungekuwa mbali zaidi

Ila yote kwa yote utajiri wa Diamond unatokana na kuendelea kuongelewa kwenye midomo ya watu kila siku iwe kwa mabaya au mazuri

Na hongera kwa wenzetu walioamua kuwa wakosoaji wa maisha, lugha, mienendo na kila kitu cha maisha ya watu yasiyo wahusu

Hate is real.
Poleeeeh kwa kuteseka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulisikia lile neno "about it " alivyolitamka "abauri ir" [emoji23] yaani anajaribu kuslay kama mmarekani bahati mbaya ndio hivyo ulimi mzito....angeongea tu English yetu ya kibantu shega tu, mbona wanaigeria,wakenya wanastyle ya English Yao hadi wasanii wakubwa wanaishi nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nn "abaur ir? Woiiiiiiih
 
Ulisikia lile neno "about it " alivyolitamka "abauri ir" 😂 yaani anajaribu kuslay kama mmarekani bahati mbaya ndio hivyo ulimi mzito....angeongea tu English yetu ya kibantu shega tu, mbona wanaigeria,wakenya wanastyle ya English Yao hadi wasanii wakubwa wanaishi nayo
Ati nini? Abouri ir? Embu niache mie 😂😂😂😂😂😂
 
Hujui kiingereza. Kaa kimya.
Unaweza ukawa sawa, lakini nimezungumza kiingereza for much more time than I can remember. Nimeishi kwenye nchi zinazongumza kiingereza, na nimeshuhudia hilo neno likitumika hata kwa wanaume mkuu. Na natives ndiyo walikuwa wanalitumia bro.
Kama hujapata exposure vema jaribu kwenda kuishi kwenye hoods nchi za western. Utajifunza mengi kwenye lugha yao kwa sababu most residents wanatumia lingo sana. Wanakuwa wanaelewana wenyewe kwa wenyewe. Ukiishi kwenye suburbs hautapata kupanua wigo wa lugha yako, kwa sababu watu wamestaarabika. Lugha unaweza ukawa unaijua ikiwa rasmi ama ikiwa kama lingo bro. So its safe to say Diamond ametumia lingo, right?

Future (rapper) alikwambia "He got the keys" lakini hakumaanisha funguo. Get it through your head.
 
Back
Top Bottom