Diamond Platinumz tunakutaka mara moja uache kujihusisha na jina la Simba wakati unashabikia Utopolo (Matembele)

Diamond Platinumz tunakutaka mara moja uache kujihusisha na jina la Simba wakati unashabikia Utopolo (Matembele)

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisi wa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond Platinumz.

Simba Sc aihitaji macelebrities wa mchongo kutoka hapa Bongo wanaonunulika kwa vipande vidogo vya fedha.
 
Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisibwa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond Platinumz.


Simba Sc aihitaji macelebrities wa mchongo kutoka hapa Bongo wanaonunulika kwa vipande vidogo vya fedha.
Una patent right na neno Simba? Nenda kule Serengeti ukaanzishe petition ya kuzuia wanyama waliotumia jina la Simba kabla ya haku katimu alichonunua Mo kuanza kuliiga jina hilo kutoka kwa wanyama pori
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisibwa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond Platinumz.


Simba Sc aihitaji macelebrities wa mchongo kutoka hapa Bongo wanaonunulika kwa vipande vidogo vya fedha.
Best time ever kuwa shabiki wa yanga, SIMBA wanaumia kisaikolojia, kiakili, kimwili, ki kila aina yaani
 
Simba mnapitia kipindi kigumu sana
20230612_174805.jpg
 
Nawaza hivi simba wa kule mbugani Serengeti mfano akija Yanga mtakuwa mnamuitaje😁 mfugo ama mwananchiiiii🤣
 
Ukienda Songea wakina Simba wapo wengi Sana na ni Mashabiki Lia lia wa Yanga
 
Back
Top Bottom