Diamond Platinumz tunakutaka mara moja uache kujihusisha na jina la Simba wakati unashabikia Utopolo (Matembele)

Diamond Platinumz tunakutaka mara moja uache kujihusisha na jina la Simba wakati unashabikia Utopolo (Matembele)

Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisi wa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond Platinumz.

Simba Sc aihitaji macelebrities wa mchongo kutoka hapa Bongo wanaonunulika kwa vipande vidogo vya fedha.
Wewe kama nani??
Ndugu
 
Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisi wa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond Platinumz.

Simba Sc aihitaji macelebrities wa mchongo kutoka hapa Bongo wanaonunulika kwa vipande vidogo vya fedha.
Simba ni jina la fahari haliepukiki kwa wanaotaka utemi.
Waache walitumie.Simba itatajwa hata kwa maadui.This is Simba
 
Mondi anacheza na akili za watu yeye Yupo kibiashara Zaidi kwenye kampeni yupo, Simba ikiwa na mafanikio Yupo, utopoloni Yupo sitoshangaa nao Azam wakianza kufanikiwa nayeye atakuwepo pia hence nimtu wakimkakati

Sent using Jamii Forums mobile app
Furaaaaaa ni kua na marafiki
Furaaaaaa ni kuewa na marafiki
Furaaaaaa ni kua na marafiki
Furaaaaaa ni

Anafuata furaha Nani anaependa huzuni ? Manara kasepa na yeye kasepa Simba mmelamba garasa Yanga kalamba Dume haya naomba mavi nikupe Kisu au nikupe Jembe ukalime ? 😃

😆😆😆
 
Huyu choko diamond nasikia sio shabiki wa mpira
 
Kwa sasa simba wamebakiwa na wasanii mashabiki wawili tu! Tundaman na Zuchu! Dah! Inasikitisha na kuhuzunisha sana.
 
1686169931195.jpg
 
Back
Top Bottom