Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Pia Domo ajifunze kukaa kimya. Yeye ni brand tofauti na Gold Digger
 
Kutembea na NgUMbARU nuksi kweli aisee. Binti anaponea humo humo kwenye child support. 5m? Domo sio hawez bali bora apigwe kuliko kutoa huo mzigo.
**Kojoa Upigwe kama Dayamondi Karanga.
 

Attachments

  • 20171001_151753.jpg
    259.5 KB · Views: 27
DADA ZETU WAJINGA SANA,SASA HAKIMU ATAMWAMBIA ATOE ELFU ISHIRINI KWAMWEZI.HATA UKIWA NA AKILI NANI ATAMUOA HUYU MCHWA SI NI AFADHARI ZARI.MIMBA SIO MTAJI DADA ZETU MJIONGEZE NI AIBU
 
nakupa kesi huyu mjinga akafanye kazi huyu dada mjinga sana
 
Stress inayofuata ni kupigwa chini na mkewe. Yule mwanamke ana exposure, kaishi mbele kidogo, South Africa, haelewi mambo ya ku chiti halafu unasema "shetani alipita." Hatokei Tandale. Eti unafumwa kwenye infidelity kwa kuzalisha pembeni halafu unasema "kwa mwanamme haya yanatokea, shetani amepita." Ungetafuta mke Tandale angekuelewa na akavumilia hayo...!
 
Timu Dai embu fikirieni,

hii hela inaweza ku cover vitu basic vya mtoto tu,

haitoshi,kumpa na mama yake matunzo,

yes,na yeye alipwe,

Muda anaoshinda na mtoto,angeweza kwenda kazini au kwenye shughuli nyingine za kimaendeleo...........

hii sheria itazamwe upya.....
 
Ok,tumekuskia tutamuongezea coz kale kajamaa kingine kumbe si ka kwetu so gharama za yule tutazihamishia huku.....team Lion oyeeeeee!!!!!
 
Hivi nyie watu mnajua mnachoongea hapa!!!

Hamna kitu cha maana hapo!!! Diamond keshasema wazi kwamba kwavile mambo yenyewe yanaenda kisheria, ameshamalizana na mwanasheria wake na matunzo ni Sh.200K kwa mwezi kwa sababu ndivyo sheria inavyosema!!

Hamisa anataka 5M kwa mwezi! Ni mpumbavu tu ndie anaweza kutoa hukumu in favor of Hamisa manake lazima aseme hizo 5M zinakujaje kujaje! Na kwavile alizalishwa na Majizo, aoneshe hizo 5M alizokuwa analipwa kila mwezi or else, ataonekana ni opportunist anaezaa na watu wenye uwezo ili kuendesha maisha yake binafsi!!!!
 
DADA ZETU WAJINGA SANA,SASA HAKIMU ATAMWAMBIA ATOE ELFU ISHIRINI KWAMWEZI.HATA UKIWA NA AKILI NANI ATAMUOA HUYU MCHWA SI NI AFADHARI ZARI.MIMBA SIO MTAJI DADA ZETU MJIONGEZE NI AIBU
Yaani huyu demu ndo anazidi kulivurunda! Endapo angefahamu sheria zinasemaje kuhusu child support, wala asingefanya huu upuuzi manake yeye ndo anakuwa loser zaidi kuliko huyo Diamond!!! Mbaya zaidi, ataonekana ni gold digger!!
 
Ajiandae kutoa breakdown ya 5m mahakamani. Mtoto anatumiaje 5m kwa mwezi?
Maana ni matunzo ya mtoto. Yeye hayumo?
Zipo pia sehemu za kutunza watoto asisahau !!
 
Wakati mnapobeba mimba hua hamsemi mtahitaji kulipwa, uzae useme unataka kulipwa? Kwani kua na mtoto ni ulemavu? Au kua na mtoto ni ajira? Kwa hiyo alipwe 30,000 kama beki tatu ? Maana ndo mshahara wa beki tatu mlea mtoto.
 
Mchangie
 
Kumbe ungekuwa wewe ndo Diamond ungefanyaje?! Wakati wa ujauzito alikuwa anahudumia above many men would do; 70K per day! Diamond alipotaja hicho kiasi watu waliamini anatafuta kiki. Majuzi baada ya Idris Sultan kumzingua Hamisa, povu la Hamisa kwa Idris likathibitisha ukweli wa 70K.


Hizo sehemu nilizo-underline zinathibitisha kwamba ni kweli Hamisa alikuwa anazilamba 70K daily na usafiri juu! Hapo ilikuwa hata mtoto hajazaliwa!!

Sasa kama mtu aliweza kuhudumia mimba kiasi hicho, ndo angeshindwa mtoto?!!

Matokeo yake, Hamisa akakutana na wajinga wenzake akaanza kuwasikiliza badala ya kuendelea kula na kipofu bila kumgusa mkono!!! Kwavile walishatibuana, Chibu akasema okay, you're issue now will be handled na mwanasheria wangu manake sihitaji hata kuonana na wewe!!! Sheria inasema 70K kwa mwezi or probably less; Chibu akasema nitatoa 200K; above legal limit!!!

Hamisa na tamaa zake anataka 5M kwa mwezi! Milioni tano kwa mwezi huyo mtoto anakunywa maziwa ya almasi na dhahabu, au?! Au anavaa pampers zilizotengenezwa kwa madini?!!!

Mjini kuna wanawake kibao, tena wengine na status zao kuliko Hamisa lakini wamezaa na committed men na wanazitandika pesa za hao wanaume kimya kimya bila upande wa pili kufahamu!!!

Kinyume chake, Hamisa akadhani akiweka public atakuwa anamkomoa Zari na matokeo yake, hivi sasa anadhihirisha msemo kwamba, "mtaka yote kwa pupa, hukosa yote kwa pupa!" kwa sababu hakuna mahakama itakayokubali eti alipwe Sh 5/mwezi wala 2 Million!!!

In short, huyu demu ni mjinga kama sio mpumbavu!!! Na utakavyojua huyu demu ni mjinga ni pale anapodai amedhalilishwa na kutaka aombwe radhi wakati ni yeye ndie alikuwa anavujisha picha za chumbani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…