Christina84
Member
- Aug 5, 2017
- 74
- 50
Tunarudi kule kule! Huyo atakayelipa ni mwajiri na sio baba! Baba always atalipa child support na sio mother support unless wakubaliane kwamba mama aache kazi kwa ajili ya mtoto!!!
nimeipata!
kumbe anaweza kupewa kila kitu,
ila mtoto akifikisha 18 years old,anaweza kuclaim back alivyotoa,
basi na hii uispin,lol
sijui credibility ya hii site,ila naona imeeleza vizuri Schedule 1 https://vardags.com/family-law/guide-to-child-maintenance-for-unmarried-parents/