Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018


Za kunyapianyapia kutoka Huku kwetu mji kasoro meli zinasema eti Hili fagio lako ulilolitoa kwa huyu dogo ni tu kwa kuwa unatafuta ajira wasafi TV and redio ukizingatia wewe ni Guru talented kabisa katika tasnia ya Habari hapa nchini
 
Hongera DP kwa mafanikio makubwa sana. Tunga wimbo ambao utaitikisa dunia nzima na kukuongezea umaarufu wako kila kona ya dunia.
Ni kazi kubwa sana...maana lazima atafute vionjo vya Asia, Amerika zote, ulaya, australia, na wale wa visiwani! Kwenye wimbo utakao pigwa ndani ya 3-5 minutes! Kwenye maneno lugha (Kiswahili, kifaransa, kiingera, latino, kirussia, china), si kazi ya kitoto hii.
 
Kuna msomi mmoja hapo juu tena kwa level ya digrii ni mshabiki wake wa kutupwa.Elimu ni nyenzo tu ya kukuingiza kwenye tabaka la wanyonyaji na ukifanikiwa kuingia humo utatusua tu.Kipaji hakijawahi kulingana na usomi,kipaji kiko juu,acha tuendelee na kumshsbikia Messi
 
Za kunyapianyapia kutoka Huku kwetu mji kasoro meli zinasema eti Hili fagio lako ulilolitoa kwa huyu dogo ni tu kwa kuwa unatafuta ajira wasafi TV and redio ukizingatia wewe ni Guru talented kabisa katika tasnia ya Habari hapa nchini

Ha ha ha ha ha ha....mdogo wangu bhana! Hapana ila ninamkubali mno ' Ndomo ' kutokana na Kazi zake nzuri na za ukweli.
 
Kama nawaona Basata wakijiandaa kuifungia nyimbo yake world cup.
Ile ilikuwa wake up call akae kimaadili maana dili lilikuwa njiani. Exposure itakuwa kubwa kwenye kombe la dunia hivyo Basata wasingekaa kimya kama tunaelekea kuaibika kutokana na mienendo ya wanamuzi!
 
Uongo mtupu, hilo ni tangazo la cocacola tu. Yaani waachwe wasanii wenye akili zao duniani wanaojua tumbuiza wkamchukie Diamond aende kuimba salome , wabongo mnapenda Tanganyika kirahisi sana. Habari hiyo haipo kwenye source zozote zaidi ya viblog vyenu vya madale
 
Kuweka majina ya nchi zote washiriki katika wimbo wake pia itakuwa bomba sana. Nakubaliana nawe Mkuu ni lazima uwe dakika 5 au labda FIFA wanaweza kuruhusu hadi dakika 7.

 
Hii inaitwa funika bovu... Dogo ni next level haters roho roho zinawavuja sumu... But waswahili wanasema usimwingilie aliyepewa kapewa
 
Shemeji yetu angeenda Urusi ila ndiyo hivyo tena,WEMA deal hilo!!!
 
wamekosa mtu wanapeleka huyo jinga,,,,,,tujiandae kuaibika linaweza kwenda kule kutafuta wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…