steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.
Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
Za kunyapianyapia kutoka Huku kwetu mji kasoro meli zinasema eti Hili fagio lako ulilolitoa kwa huyu dogo ni tu kwa kuwa unatafuta ajira wasafi TV and redio ukizingatia wewe ni Guru talented kabisa katika tasnia ya Habari hapa nchini