Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Mamb ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] ule wimbo was kombe LA dunia upo tayr ambao na DIAMOND PLATINUM yupo

 
Mbona hakuns sehem iliyotajwa tz?
 
Ilitakiwa nyimbo ya diamond. Sio kumpeleka kijana wetu halafu akafanye covering ya nyimbo ya mtu mwingine
 
Zote zitatumikaπŸ˜‰πŸ˜‰ mara ya kwanza alikuwepo jason derulo peke yake, Diamond platnumz vile alivyo mjanja mjanja akaomba nae awepo kenye emix, Jason hakuweza kukataa kwa sababu ni mshkaji wake diamond so akaamua kumoa pande mjanja wa tandale.. Kijana wetu anapambana sana kuhakisha Tanzania inafika mbali kimuziki, Watanzania hatukuwai kufikiria kama tungekuwa na msanii ambaye ataonekana katika matangazo ya kombe la dunia.

Kwa mara nyingine tena DIAMOND PLATNUMZ kafanya ambayo watanzania wengi hatukufikiria yangewezekanaπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Diamond hakumuomba Jason bali former creative director of MTV Base Tim Horwood alipewa kazi ya kuchagua wasanii kufanya kazi na Jason na hiyo project Diamond kalipwa kufanya nyimbo na kuperform (Refer intv with lil ommy) .Daimond hakumuomba darulo bali uwezo wake ndio umemuwezesha kuwepo ktk hiyo list.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…