Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Mange atasema sio kweli, shoo kadandia diamond
 
Cheki hyo post
5e8ea758ff680fcc07d8ac817b139bab.jpg
 
Safi sana diamond, hongera kijana, ila Mimi team kiba, suala la utaifa halina itikadi.
 
Kuna siku ilikuja thread moja inaonesha gari matata ya Rose Royse na wakadai inakuja Tanzania na itapaki madale. Mpaka leo sijawah kuiona au ilirudishwa.
 
Kuna msomi mmoja hapo juu tena kwa level ya digrii ni mshabiki wake wa kutupwa.Elimu ni nyenzo tu ya kukuingiza kwenye tabaka la wanyonyaji na ukifanikiwa kuingia humo utatusua tu.Kipaji hakijawahi kulingana na usomi,kipaji kiko juu,acha tuendelee na kumshsbikia Messi
do! hii mpya kabisa kwahiyo wasomi wote wapigaji? lakini kama kunaukweli fulani kasoro hapa madaktari na wauguzi pamoja na waalimu waliobaki wote wapigaji mfano, wahandisi wanatengeneza vitu dhaifu si kwa malipo ila wale wa yale majengo ya TBA hawamo, wanasheria inayemlipa ndo mshindi,wahasibu ndo usiseme hawa ni balaaa wapigaji mpaka hospitali mara nyingi hawakosekani mahakamani kweli bana!
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
Ni mwanamuziki pekee Tanzania anayejua kucheza na soko.
 
Nashangaa saana nyimbo zake znazofanya vizuri nje ya nchi apa bongo zimefungiwa
 
Back
Top Bottom