Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

show off zinamponza unafkili kiba mjinga anavyokaa kimya alipe tu hakuna namna
 
yaani asilimia 90 % walio coment hii post dhahiri ni team kiba

na hili ndo tatizo la wabongo wengi baada ya kuwa wazalendo wanaleta ushabiki mbele[emoji57][emoji57]

samahani jamani

imejipost tu
 
Tatizo unakuja kishabiki sana, tuliza akili unaweza kuelewa, nimesema serikali kama inahitaji kodi ya wasanii basi iweke mazingira mazuri ili wapate hiyo kodi, sasa kama diamond anaingiza kiasi kikubwa zaidi ya kodi anayolipa kwako wewe hauoni tatizo? Hivi mpaka sasa tupo katika zama za kukadiliana kodi? Sasa je kwa msaga sumu na man fongo ambaye hauwezi kumkadilia kipato chake kwa kupitia instagram, unapata wapi kodi yake? Tahadhari; usichangie huku kichwani unamfikilia sana diamond, jaribu kuchangia kwa kufikilia mapato wanayopoteza wasanii na kodi ya serikali kwa kuto ku regulate kazi zao.

Ebu jaribu kutoa ushauri unataka serikali ifanye nini kuweka mazingira rafiki kwa wasanii ili wanufaike na kazi zao,naomba nikukumbushe kidogo miaka ya nyuma tulikua tunanunua tape za bongo fleva na Cd zikiwa na sticker za TRA wasanii kwa makusudi kabisa wakaacha kukomalia wenyewe kuhusu hili mfn leo ame-release albamu na wamegonga copy kadhaa kesho anampa redio presenter Mastering CD akae nayo gheto na aliepewa anawaachia masela simply albamu zilitufikia mtaani kwa njia hii na recently Nape akiwa waziri mwenye dhamana alikomaa kuhusu mirabaha kwa kuwataka owners wa redio na tv stations kuanza kuwalipa wasanii wanapocheza kazi zao ila leo Barnaba anatoa wimbo alafu anakimbilia kwenye page yake ya IG anakusisitiza nenda kwenye BIO upakue nyimbo yangu wakati serikali wanakomaa wasanii walipwe na wamiliki wa redio unashangaa kusikia TID ana ongea kua yeye na wenzake wanawahonga redio/tv presenters wapige nyimbo zao hapa ni kichaa tu ndio atapambana kuwasaidia hawa wasanii.
Siku hizi kuna digital platform endapo wenye akili wangetulia basi wangekua matajiri hawa wasanii wetu ila kama kawaida leo anaachia audio ya wimbo mpya mkito kule kesho jioni video iko uchi kwenye social networks unategemea nani atakua mwehu wa kuendelea kulipa mkito and the like wasanii wetu watailaumu serikali milele ila wenyewe ndio wanaonyesha njia ya kuibiwa nilikua naangalia wasanii matajiri 10 wa Afrika hakuna kutoka ukanda wa EA unaona tu WA wanatamba,kingine waache kuongeza sifuri kwenye deals zao wanasababisha hata hao wafanya makadirio kama unavyosema wawalipue tu nimeona dogo kabisa anadanganya anapokea $ 3500 per month kutoka Yotube mara show za 100 M alafu unataka TRA wasikuibukie hawa watoto hata wakinunua chupi wako mtandaoni wanadhani akina akina Jay Z na Diddy kwa nini wame-slow down kwenye show off hauwezi kuwaona wakionyesha magari na cheni kibwege ingawa system yao ya kodi iko wazi kabisa.
Hakuna atakaewapigania kuhusu kazi zao kama wenyewe hawataki hizo haki nitafarijika nikiwaona mtaani wanawadandia wale wenye computer wanaoingiza nyimbo kwenye simu itakua sawa wakisema msipige nyimbo zetu kwenye media house zenu mpaka mtulipe ila nani ana ubavu wa kuwaambia Clouds au E-fm.
TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA.
 
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!
Mfano ni wema+diamond wameisoma no vizuri
 
Huyo hata akifilisiwa sawa tu maana ndie aliekuwa muvaa manguo yakijani nakuimba mchana kutwa akiipigia debe ccm. Halafu kuisu kodi azodaiwa msibishe maana baada uchaguzi huu tumemshuhudia huyu jamaa akiwa tajili gafla kwahiyo wao cccm wanaju walimlipa pesa nyingisana
Aliahidiwa kufanya biashara bure
 
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!
Unajua watu wajinga sana. Ukitaka kuwa mjanja usionyeshe mali zako waziwazi duniani kote kwa watoza koda. Ndiyo maana watu hata kama wana pesa wanachukua mkopo bank ili kuifumbasha serikali lakini vijana wetu malimbukeni wanaonyesha nini wanacho.
 
Nchi inanyooshwa nimeanza kuamini atakafika July kidume. .. tatizo la wasanii hawawezi kukubali kufa pekeyao watachomana mno hawachelewi kusema Bob Marley nae alipekodi nyimbo zake zinajulikana zaidi kuliko za Diamond kama Bob hatolipa na wao wasilipe iwe sawa....😀
 
Diamond chini ya CCM na serikali yake amejipatia mabilioni. Atashindwa nini kulipa TRA mamilioni kujenga nchi yake kizalendo? Nani ajenge nchi kama si mimi, wewe na yeye?
Kwa kweli CCM ilimlea vizuri sana.Nadhani muda muafaka wa kulipa fadhira.Aache maneno alipe kodi cuz si yeye peke yake tupo wengi tu.Taifa kwanza mambo mengine baadaye.Anakuwa kama alizoea magendo bhana kumbe hamna.
 
yaani asilimia 90 % walio coment hii post dhahiri ni team kiba

na hili ndo tatizo la wabongo wengi baada ya kuwa wazalendo wanaleta ushabiki mbele[emoji57][emoji57]

samahani jamani

imejipost tu
Team Kiba na Ant-Kijani wamo..
 
Huyo hata akifilisiwa sawa tu maana ndie aliekuwa muvaa manguo yakijani nakuimba mchana kutwa akiipigia debe ccm. Halafu kuisu kodi azodaiwa msibishe maana baada uchaguzi huu tumemshuhudia huyu jamaa akiwa tajili gafla kwahiyo wao cccm wanaju walimlipa pesa nyingisana
Kwahiyo sera ya chadema ni kutotaka kodi kwa hawa jamaa wanaoingiza mamilioni, tafakari mama analima ndizi mwenyewe ila akipeleka sokoni anadaiwa kodi.
 
Unajua watu wajinga sana. Ukitaka kuwa mjanja usionyeshe mali zako waziwazi duniani kote kwa watoza koda. Ndiyo maana watu hata kama wana pesa wanachukua mkopo bank ili kuifumbasha serikali lakini vijana wetu malimbukeni wanaonyesha nini wanacho.
Usipoonesha utapataje kiki?Au hujui kuwa kiki ndio mtaji wa msanii?
 
Back
Top Bottom