py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Pale kodi inapokuwa kubwa sana ,hakuna uzalendo huo asekulipa kodi ni kielelezo cha uzalendo!!
kila mzalendo kwa nchi yake hawezi kukwepa kodi!!
watanzania wenzagu tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu!!!
awamu hii tunaona matunda ya kodi zetu!!!
tulipe kodi bila kinyongo!!
Mnataka kukamua maziwa mpaka damu
Not to that extent