Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

kulipa kodi ni kielelezo cha uzalendo!!
kila mzalendo kwa nchi yake hawezi kukwepa kodi!!

watanzania wenzagu tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu!!!

awamu hii tunaona matunda ya kodi zetu!!!

tulipe kodi bila kinyongo!!
Pale kodi inapokuwa kubwa sana ,hakuna uzalendo huo ase

Mnataka kukamua maziwa mpaka damu

Not to that extent
 
JIZZE kaongea fact ila diamond amefeli katika kushukuru "ndio maana sikuja kupiga kampeni" 1.majimbo yote aliyoenda kupiga kampeni ilikuwa ni kwa ajili ya wabunge wa CCM japo kuna mashabiki wake kwenye hayo majimbo wenye utashi na vyama vingine

2. Kati ya wabunge wote aliowapigia kampeni about 200 ni yupi alisimama akatetea muziki.

Diamond jitafakari leo watu wanakupambanisha na KIBA na HARMORAPA sio kwa sababu hawa watu wanajua bali ni sababu ya MIZINGUO yako.
 
Hivi wafanyabiashara wengine wanaodaiwa/wanatakiwa kulipa kodi serikali ilienda kuwekeza kwao? Au ilisimamia juhudi zao kupata pesa?

Kodu inalipwa kulingana na mapato yako,aidha kwenye biashara au ajira. Kama wanamdai 400m ina maana wameona ana kipato cha kulipa 400m.

Mtu unajinasibu umepata 700m kutoka Voda, $2m kutoka universal records, unauza ringtones zako,unauza miziki yako na wwngine online mapato yako ni kiasi gani?

Una kampuni kubwa na management kama umebambikiwa kodi kubwa ndio muda wa kujua hio management inaweza kazi au la!
 
TRA fanyeni kazi.....Uliandaa bomu ukajua litaenda mashariki tu kumbe hadi magharibi.
 
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!
Ma cccm yenyewe yana roho za kutu utadhani genge la wachawi walifura kwa wivu!!!
 
Kwa hiyo chadema wangechukua nc
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!
Kwahiyochadema wangechukua nchi wao wangekuwa wanawasamehe na kuwalinda wakwepa kodi!!! Nyie mngeiendeshaje nchi
 
Mbona sijaona alikiba akilipa kodi kazi kumsumbua mond tu kwel nimeamini mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe siku zote
 
JIZZE kaongea fact ila diamond amefeli katika kushukuru "ndio maana sikuja kupiga kampeni" 1.majimbo yote aliyoenda kupiga kampeni ilikuwa ni kwa ajili ya wabunge wa CCM japo kuna mashabiki wake kwenye hayo majimbo wenye utashi na vyama vingine

2. Kati ya wabunge wote aliowapigia kampeni about 200 ni yupi alisimama akatetea muziki.

Diamond jitafakari leo watu wanakupambanisha na KIBA na HARMORAPA sio kwa sababu hawa watu wanajua bali ni sababu ya MIZINGUO yako.

Hahaha anakurupuka sana si amwambie bashite amtete si anajinadi anapesa nyingi hazina idadi akalipe sasa fyuu
 
JIZZE kaongea fact ila diamond amefeli katika kushukuru "ndio maana sikuja kupiga kampeni" 1.majimbo yote aliyoenda kupiga kampeni ilikuwa ni kwa ajili ya wabunge wa CCM japo kuna mashabiki wake kwenye hayo majimbo wenye utashi na vyama vingine

2. Kati ya wabunge wote aliowapigia kampeni about 200 ni yupi alisimama akatetea muziki.

Diamond jitafakari leo watu wanakupambanisha na KIBA na HARMORAPA sio kwa sababu hawa watu wanajua bali ni sababu ya MIZINGUO yako.
Mimi nionavyo Diamond kusema ndiyo maana hakwenda kupiga kampeni kamshukuru Professor Jay vizuri tu.

Katika wimbo wa Kibabe wa Professor Jay moja ya mistari yake kazungumzia jinsi wasanii wakiwemo wanamuziki wenzake walivyojazana jimboni mwake kipindi cha kampeni wakitumiwa na chama tawala ili kumwangusha.

Kwa mantiki hiyo Diamond kusema ndiyo maana hakwenda jimboni mwake Professor Jay KUPIGA kampeni kamaanisha hakutaka kutumika jimboni kupiga kampeni za kumwangusha kama walivyofanya wasanii wengine.

Pengine alitakiwa aende AKAMPIGIE kampeni lakini yawezekana hofu ya kukosa maslahi binafsi kutoka chama tawala ilimpelekea kushindwa kufanya hivyo. Hayo ni mawazo yangu.
 
kulipa kodi ni wajibu wa kila mtu nashangaa watu wameacha kujadili juu ya kodi wanajadili kama kwamba kuna watu wanastahili kulipa kodi na wengine hawastahili
 
Ila hawa TRA sometimes ni waonevu, nilisikia darassa alikuwa na shoo Arusha kagharimia ukumbi, promo, usafiri na bado hapo yy mwenyewe hajavaa, wazee wa TRA wakavamia na kutaka 18% ya mapato yote,sasa sijui walitumia formula gani kukokotoa hiyo kodi, sometime nawaona kama wezi wanawabambikia wenzao. Wasanii wenyewe kazi na haki zao hazilindwi , yaani ni sawa sawa ng'ombe huumpi majani alafu unategemea upate maziwa. Hata mimi nina jamaa yangu alikuwa na kampuni yake aliifungua 2013, akakomaa wee mpaka 2014, akachemka akafunga kampuni na akawaandikia barua. Mwezi wa tatu wamemfuata wanamwambia anadaiwa million 3,jamaa mwenyewe sasa hivi anaunga unga, ndugu yangu alipagawa bahati nzuri ile barua aliyoituma aliitoa kopi.
 
Back
Top Bottom