Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Hivi ule wimbo wake ambao b mkubwa alimkataza asiongee unaitwaje
 
Anazovuna FREEMANSON atatoa tu, kwahiyo hata TRA wanajua kwamba pesa ipo pale na lazima atoe tu, si anajifanya simba? Ikishindikana wachangishane na kibibi chake Z watoe hizo pesa.
 
Alipe tu hyo kodi asilete masihara ..... hapa kasi tu
 
Screenshot_2017-05-10-20-02-35.jpg


-----------------------
Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye juzi aliandikwa na gazeti la NIPASHE kwamba anadaiwa shilingi milioni 400 za kodi na TRA, amepost kipande cha video fupi ambacho Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay‘ amemuongelea bungeni.


Kwenye video hiyo, Profesa Jay amesema;"Juzi Msanii Diamond alikua analalamika TRA wamempelekea kodi ya Milioni 400, unaweza kujiuliza anadaiwa milioni 400 kwa kiasi gani alichoingiza?‘


"Downloads zinazofanyika mnaweza kuona Wasanii sasa hivi wanabanwa, TRA wanatamani kuvuna kutoka kwa Wasanii kitu ambacho bado hawajakipandikiza, tumekua na ule msemo kama wa zamani kwamba shamba likiwa na bangi ni lako lakini likiwa na dhahabu ni la serikali… tunataka kuchuma kitu ambacho hatujakipanda, inabidi Serikali ianze kuwekeza na kuwajenga Wasanii kutoka shule za msingi mpaka Chuo kikuu"


Baada ya maneno hayo ya Profesa Jay kwenye video, Diamond Platnumz aliichukua video hiyo na kuandika; "Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo"
 
Mtu anaitwa platnumz yaani dhahabu hamumuelewi? Yaani andeal na watu wanaomfakdisha tu alosifiwa ajiangalie
 
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!
Kwahyo mkuu unamaanisha angekuwa chadema asingelipa kodi kabisa? Maana sijaelewa.
 
Diamond aache kubwabwaja anatakiwa kukaa kimya atafakari na kuacha kuleta ushabiki.Anaanza tabia za Nape.Yeye aende TRA akaombe huko msamaha kama kupunguziwa au apewe maelezo........Hii tabia ya kukata mti huku umeukalia ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom