Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTU anunue nyumba Sauzi kisha aje bongo kupanga kweli inawezekana?Watu na mbwembweee zinawatokea puani,ofisi katimuliwa na kesi juu. Bado ile anayoishi kwa sasa ,kodi ikiisha muziki mnene utatimka
Yaelekea mpaka kiwanja kakiharibu.. kachimba mgodi
Dawa ya Deni ni kulipa na si Janjajanja,Mnakumbuka kipindi Kiba anadaiwa na Man Walter Mlipiga sana Domo kua alipe, Muhimizeni na Ndugu yenu Dangote alipe, Mbona Walimkomalia Konde boy awalipe na yeye alipe
MTU anunue nyumba Sauzi kisha aje bongo kupanga kweli inawezekana?
Acha masihala wewe yaani kuwe na nakshi za dhahabu watu waziache?
Hiyo copper tu wazee wakazi wanaweza wakatinga vilevile.
Huyo mwenye nyumba analipa Kodi kwa tra shs ngapi ?
Ile ni office na WCB nazani unawajua kwa mauzo ,ile office ilivyozinduliwa picha zililikuwa kibao kwenye mitandao.mkuu, mbona nyumba nyingi tu zina fixtures za dhahabu na haziibiwi, niliamini kwa sababu kuna nyumba ulaya stairways zake ni dhahabu na koki za bafuni ni dhahabu pia nyumba ya michael jackson jacuzzi ni la dhahabu lakini mpaka leo vipo na ulinzi ni mdogo so kwanini bongo ishindikane ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Milion 337 kabomoa nyumba nzima?
Ile nyumba yenyewe thamani yake sizani kama inavuka mil 100.
Kwani Apartment s zipo kwa ajili ya kupanga tuu...?Kwa hio Mengi aliyekua ana amua kuushi kwny ma apartments hapa Town ulikua unamuonaje?
Kwani Apartment s zipo kwa ajili ya kupanga tuu...?
We unajua kiwanja kipo eneo gani ?? Kun Viwanja Mpk vya Billion 1Milion 337 kabomoa nyumba nzima?
Ile nyumba yenyewe thamani yake sizani kama inavuka mil 100.