Diamond Platnumz afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuharibu nyumba aliyokuwa amepanga

Diamond Platnumz afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuharibu nyumba aliyokuwa amepanga

Wasanii wa bongo ni full waigizaji tu.

Nimekumbuka Wema Sepetu nyumba ya watu aliifanyia mpk decoration akisema ameinunua mara ghafla kafukuzwa hajalipa kodi.

Jamaa hela sio kama mavi kila mtoto akiamka asubuhi anayo kwny diaper yake.
Hahaha Ila mondi sidhani Kama anashindwa kulipa hiyo kodi , sema tu mondi na huyo Jamaa wameamua kushindana
 
Wameharib nyumba [emoji23]mwenye nyumba amenichekesha sana au mond aneharib kiwanja hiyo bei kubwaa sana ni kama kavunja nyumba yoteee na kununua kiwanja juu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kawaida kuharibu samani na vifaa vya kisasa kama haukukulia kwenye mazingira hayo.
 
Pesa zote show off zote hizo, kwa nn asijenge yake akaifanya ofisi
 
Na Sisi vijana kwenye fursa kama hizo, huo tuko radhi tufie hata kifuani.. Huyu jamaa kama hana hta nyumba 2 na tubiashara tuwili tutatu hapa mjini atakua wa ajabu sana..
Nyumba anazo sema kaandika majina ya mama yake,so bi mkubwa yupo kila kona(na alipo bi mkubwa,ben ten hakosekani)na kijana damu changa anatafuta uhuru japo kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom