misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Mmh!We unajua kiwanja kipo eneo gani ?? Kun Viwanja Mpk vya Billion 1
New York au mjini dar es salaam? Kkoo au mbezi? Maana prime area hamna viwanja kuna nyumba na nyumba za zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh!We unajua kiwanja kipo eneo gani ?? Kun Viwanja Mpk vya Billion 1
Hahahah We Mzee Wewe Hapa Hapa Dsm Kkoo tuu pakuanziaMmh!
New York au mjini dar es salaam? Kkoo au mbezi? Maana prime area hamna viwanja kuna nyumba na nyumba za zamani
Teh teh tehHahahah We Mzee Wewe Hapa Hapa Dsm Kkoo tuu pakuanzia
Prime area ni wapi?
Yaelekea mpaka kiwanja kakiharibu.. kachimba mgodi
[emoji16][emoji16][emoji16] ninyi watu bwanaMilion 337 kabomoa nyumba nzima?
Ile nyumba yenyewe thamani yake sizani kama inavuka mil 100.
Huwa anaiba sema hapendi show offDiamond kaiba nyumba? Mwenzie Ali Kiba mbona sio mwizi mwizi kama yeye?
[emoji23][emoji23]Kwaiy Daimond mwizi anaependa show off?
Kaharibu kiwanja nyumba?We unajua kiwanja kipo eneo gani ?? Kun Viwanja Mpk vya Billion 1
Kwani Hiyo hela kaitaja Nani 337MKaharibu kiwanja nyumba?
Mahakama hapo hapo watapiga mahesabu ya thamani ya NYUMBA.
Kwani Hiyo hela kaitaja Nani 337M
Mwenye nyumba ?
Diamond anahusishwa vipi na kampuni(wcb), au na yeye anataka kuwa kama raisi mwenzie?
mr everything
Ofisi gani?
Ila kuna gari la wakusanya mikopo huwa lafika pale kwake muda mrefu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ushawahi kusikia nani amefungwa kwa kesi ya madai mkuu?
alikuwa anadaiwa na nani?
Kama walivo ithaminisha kesi ya viongozi wa chademaHata akishinda akilipwa haizidi milion 15.Mahakama nao wana watu wao wakuithaminisha nyumba.
Unawaza siasa lkn hizo ni issues mbili tofauti.
Ok , 10% of rent received by landlordWithholding tax 10%.