Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

naona yeye na media yake wanatumia nguvu kupush iyo EP yake iende, wenzie wamefanya listening party wakaacha mzingo uende wenyewe ila yeye ni kulazimisha mixer kutumia mpaka mahusiano yake
Ukishaiacha iende yenyewe inamaanisha hujajipanga kufanya biashara Au huna pesa ya promo.
 
Kwa siku 3 mkwanja alioingiza unaambiwa si chini ya $ 100,000.00

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Nyimbo gani itaenda kuvuka mipaka wakati zimeshavuka, bila kuwa zimevuka inakuwaje EP iko kwenye trending kwenye takriban nchi 33 worldwide.
 
Acha uchawi bro
 
Kichwa cha habari tafadhali ili tuielewe ni horodha ya kitu gani na ni ya mwaka gani.

Hizi list za Africa hazieleweki kila mmoja anajiaandikia tu anavyoona sawa
Ukiangalia list nyingine ya Wasanii wa Africa mzima waliochukua Grammy awards wakiwemo wa Senegalese na Mali wengine
Diamond ni wa 14

Ila list nyingine nayo ya 2021 ni wa 3 sasa hapo wanatuchanganya tufuate ipi?

Mimi sio shabiki wa mmoja mmoja bali wimbo wowote mzuri nasikiliza na hii list nimeipata baada ya kusoma na kupitia tu
 
Reactions: Qwy
No kakosea, according to google sio wa tatu, ni wa pili




Mwaka jana ndo alikua wa 3


Usilete mawazo yako lete data mkuu, haukuona show ya mondi oscar? Ifike mahala tukubali huyu jamaa ni kiumbe mwingine
 
Haya ni maoni yenu au yako?
 
Ukishaiacha iende yenyewe inamaanisha hujajipanga kufanya biashara Au huna pesa ya promo.
it's obvious debe tupu huwa lina kelele kuliko lililo na kitu ndani kwaiyo anachokifanya ni promotion au kuongelea wenzie waliotangulia kutoa album
 
Nyimbo gani itaenda kuvuka mipaka wakati zimeshavuka, bila kuwa zimevuka inakuwaje EP iko kwenye trending kwenye takriban nchi 33 worldwide.
Hizo nchi gani madale, mbagara au tandale 🀣🀣, ebu kuweni serious nchi 33 unajua unachoongea wewe?
 
hizo nchi gani madale, mbagara au tandale 🀣🀣, ebu kuweni serious nchi 33 unajua unachoongea wewe?
πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
Vumilia dawa iendelee kuingia japo inauma, you'll get healed in due time.
 
Kapanic Watanzania wameitia kwenye Dustbin EP yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaan Domokaya ana Kiba's Fever, kamtaja kwenye wimbo kaona haitoshi kamtaja kwenye Media, Msanii namba 3 Africa anaumizwa kichwa na Msanii ambaye hayupo hata top 100 [emoji119]
 
Mbona naona wewe ndio unateseka
 
Unashupaza shingo kumtetea ambaye wengine tunamwona kama upuuzi tu, huo ujasiri wa kusikiliza nyimbo zenye matusi matusi unaupata wapi ukiwa na Wazazi wako hata na Watoto wako, au ndiyo kile kizazi cha digital.com?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…