Diamond Platnumz aingia mkataba mnono na vodacom

Mm nahisi izi promo za voda ni kama kuizoofisha ngoma ya lupela maana umekuwa voda voda kama ndo imeanza leo
 
Hahaha wabongo bwana.. yani mtu asifanye yake kisa flani anafanya hivi.
Voda na kiba wapi na wapi yani voda haiwezi shindana na kiba au na msanii yoyote.
 
WCB Empire inawachanganya wengi. Sasa ishu za Vodacom lisaa deileee inahusiana vipi na lupela? Au Vodacom nao wanatoa nyimbo siku hizi.
 
Wanatumia pesa nyingi ili Ali Kiba asiwini life. Lakini King yeye anasoma dua tu.
Aliyepata kapata tu.
Majungu na fitna nayo hukimbiza baraka za madili kama haya....
Kibakuli atachambia steel wire huko aliko.
Na mimba zitawatoka....kuekti mimba ya mtoto Iddy kumbe ya jamaa mbunge wa kusini.

August sio mbali, labda awe ameweka matambara
 

Hujambo...?
 
Mbona hamjiamini!! Kiba msanii mzuri sana tatizo hajiamini kila kitu anahisi watu wanamzunguka, sasa watu waache kufanya matangazo yao ya biashara kisa wamuhofie yeye atanuna!!! pu***vuuuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…