Diamond Platnumz aingia mkataba mnono na vodacom

Nipo hapa.....
Hiyo nyimbo lazima itambe, wanaoponda unreasonably nawaomba waihifadhi hii comment yangu for future use!!
Tell thèm sir... Since hawachagui pakunya wanacheza ngoma za kiba had leo anasastain kila ngoma wanaponda hahahahahaaaaa
 
Tell thèm sir... Since hawachagui pakunya wanacheza ngoma za kiba had leo anasastain kila ngoma wanaponda hahahahahaaaaa

Hakuna team diamond ataifagilia hii ngoma waziwazi coz kupondea kila kitu ndo ishakuwa desturi hata kama ni kizuri!
Kuna kaswida yao ya msibani ndugu yao aliimba wasubiri kuomboleza!
 
Tusichanganye mambo! Wa makontena watajibu kivyao, na huyu endapo hao Voda hawatamkata withholding tax, basi wao (voda) ndo watailipa.
Waungwana si muwaachie wenye kazi zao TRA kwani ulikuwa mkataba wa siri kwamba nyie ndio mmeugundua? mbona vyombo vya habari viliitwa na yote yame anikwa nini tatizo lenu? mna fikia hadi kutoa maelekezo ya mgawanyiko wa makato dah!!.
 
Wanatumia pesa nyingi ili Ali Kiba asiwini life. Lakini King yeye anasoma dua tu.
Grow up nyie ndiye mnaofanya huyu kiba hasiendelee, mwambie kiba akaze buti na astop mashindano Ya kijinga.
 
"Nampigia mwanangu, Laty lalaaa"

hahaha huyu MTU mbaaaya sana, hill tangazo tu ila ni tatizo likija lile dude alilovaa kininja? au aliloshika mtutu? alilomshirikisha psquare au neyo? hahahaha kama ninamuona hivii miaka mingi sana ya utawala wake..
bradha...
tukiachana na ushabiki MAANDAZI...
yaan mim binafsi sion dalili za huyu jamaa KUFURIA...
huyu jamaa ni mjanja mno,huyu mtu kwa sasa sio wa kushindana naye...
kushindana na huyu mtu ni sawa na kujichimbia kaburi...
kila anachokigusa huyu mtu siku hizi kinakua ni DHAHABU...
nadhani VODACOM wameliona hilo..!
 
Nipo hapa.....
Hiyo nyimbo lazima itambe, wanaoponda unreasonably nawaomba waihifadhi hii comment yangu for future use!!
Tell thèm sir... Since hawachagui pakunya wanacheza ngoma za kiba had leo anasastain kila ngoma wanaponda hahahahahaaaaa
Hakuna team diamond ataifagilia hii ngoma waziwazi coz kupondea kila kitu ndo ishakuwa desturi hata kama ni kizuri!
Kuna kaswida yao ya msibani ndugu yao aliimba wasubiri kuomboleza!
mashabiki wa aina yenu ndo wanaomponza Ali Kiba...
amini usiamini hii nyimbo ya LUPELA kama diamond ataamua kuizima wala haitachukua hata wiki mbili...
ila sio jambo la ajabu sana kwa sababu hata mashabiki wa ommy dimpoz wanaamini ommy dimpoz ni mkali kushinda diamond...
hiyo ndo maana ya USHABIKI..!
 
Fedha haramu zinatakatishwa kama kweli kalipwa hiyo fedha!!
 
Mambo haya ndio yamemfanya wema apatate kuchanganyikiwa hadi kubeba mimba na mtu wa hovyo kabisa
 
hongera diamond kama namuona mfugaji mbwa kwa mali
 
Je vodacom haitawagharimu kupunguza wateja wao,Kwa kumuweka Dai.Platnamz kuwa Balozi Wa vodacom na kuusiana na upande Wa 2(haters).
Coz vodacom mmewaharibia program yao Lupela inatoka na Diamond kuwa Balozi Wa Vodacom.Mnapaonaje hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…