Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Ni ngumu saana kumuelewesha mtu mweusi haswa linapokuja suala la uwekezaji,yeye huangalia matokeo tuu apate chake na si kuukuza mtaji ama ile biashara ili na yeye anufaike na wengine waje wanufaike.
Muziki ni moja kati ya biashara ngumu saana zama hizi za kidigital maana kila kona ukigusa wanataka pesa tuu hata kupostiwa weka pesa mezani
 
Nina uhakika BASATA wakiweka hiko kitengo na kuweka vigezo label itakayo baki itakuwa WCB pekee,maanake label nyingine zimekuwa kama vijiwe vya kahawa mchana stori jioni kulala shows hawana,branding hamna wapo wapo tu.
 
Ukiacha WCB, unaweza taja lebo nyingine iliyofanikiwa kutoa wasanii wake wakafanikiwa? Pia hii WCB ina wasanii wangapi wanaotumika kama reference ya unyonyaji kati ya wasanii maelfu TZ?
 
Kabisaa
Fact
 
Ulimwengu wa kibepari HAUHITAJI HISIA HATA KIDOGO!!
Mtu awekeze kwao,akuze brand yako,akupe channel ya kukuingizia hela hata miaka 30 ijayo afu ukitaka kuondoka uondoke tu sababu sauti ni yako na ntimbo uliandika wewe??Ujamaa huu unatudumaza sana sisi watanzania.
Na hao mnaowaita wakongwe wanaongea tu sababu ya roho mbaya zao na wivu.walichezea senti mbili zao wakiwa kwenye peak,upeo umewapita na walau sasa soko linaweza toa hela ukiwa serious na zaidi sana hawakutarajia dogo angekaza mpaka hii leo na kuwa mkubwa kama alivyo so they just hating on him.Much as ana mapungufu yake mengine mengi kama binadamu yoyote,from the bussiness perspective kijana YUKO SAHIHI SANAA
 
Tatizo ni kwamba transparency haipo mpaka amulikwe na media.

Utetezi mzuri, sasa turudi kwenye sheria inasemaje
 
Word!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…