Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?

Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
Kaongea kweli mswahili hana shukrani ukimbeba lazima akunyee.
 
Dayamondi is right. WCB isn't a not-for-profit organization. Lazima hela yao irudi na faida juu kama biashara zingine zote.

Wasanii wanasaini mikataba so they know what they get into na taratibu za kuvunja hiyo mikataba kama hawakubaliani na masharti wasikubali kujiunga. It's that simple.
People don't know about it.. Wanachojua ni kukosoa tu
 
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.

Diamond amejibu kama ifuatavyo

Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.

Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.

So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?

Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi


Hajajibu swali bado hawa jamaa wanawaibia sana wasanii ni vizuri wasanii wapate elimu na kujua vizuri haki zao. Kila label ina wekeza lakini msanii mfano akiandika nyimbo hiyo ni haki yake tofauti na uimbaji lakini hawapati haki hiyo kutokana na habari tunazipata. Vilevile producer wa beats naye anatakiwa kuwa na haki ya zile beats kama itatumia sehemu nyingine zaidi ya music mfano movies, advertising anatakiwa kuwa na % yake hapo . Kila label ina gharama laini ni lazimq kuwe na haki
 
Na hiyo point ya mwisho sidhani kama inakwepeka kwa tajiri kama yeye anaetaka kuendelea kua tajiri.

Ni vile tu vijana wanakua hawana mtu wa karibu wa kuwasimamia kwenye hiyo mikataba.
Ni kweli, na hapo ndipo wanapopigwa
 
Nina uhakika BASATA wakiweka hiko kitengo na kuweka vigezo label itakayo baki itakuwa WCB pekee,maanake label nyingine zimekuwa kama vijiwe vya kahawa mchana stori jioni kulala shows hawana,branding hamna wapo wapo tu.
Hakuna namna kama wanafanya biashara udhibiti ni lazima uwepo,vinginevyo hali itazidi kuwa mbaya
 
Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.

Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.

Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?

Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
 
Eeh sikuzote dharau huanza baada ya raia kuanza kulamba asali. Mtu kachukuliwa hana mbele wala nyuma anapewa mkeka wa 6O/4O anakubali.

Akishabrandiwa na kuwaka, chupi sio tatizo anabadilisha with a few clicks. Ndinga ana afford ndio yanakuja mambo ya kuwaza ananyonywa. Hii sio case ya kwanza. Ndio biashara ya mkataba ilivyo hata Tanzania inagewaga 3% japo dhahabu ni yake. Mabeberu wanazoa 97%
Kiuhalisia mtu akiwa hana ramani hukubali lolote lile imradi aingie.
Akishaona amefanikiwa huanza mambo yake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?

Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
Wewe kiazi ni mmoja ya vizibo hopeless ulimwenguni.
 
Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.

Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.

Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?

Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
Umaskini unaleta roho mbaya, roho ya hasira , roho ya chuki na roho za husuda.
 
Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.

Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.

Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?

Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
Umaskini unaleta roho mbaya, roho ya hasira , roho ya chuki na roho za husuda.
 
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.

Diamond amejibu kama ifuatavyo

Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.

Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.

So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?

Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi
Kaongea CEO,ameeleweka,sasa mtu anataka apate Bure,hakuna kama hicho,lazima ulipie
 
Ni haki yake,ila hizo sifuri za kumbrand msanii ifike mil 500.🤔
Kuna hilo pimbi la kisomali hapo ndo linamshauri waongeze masifuri ili msanii ashindwe waendelee kumnywa
 
Sio mara ya kwanza Mondii kuzungumzia ichi kituu. Malegend wa bongofleva wengi wanaishi maisha ya njaa kutokana na kutoutambua muziki wao kuwa ni Biashara.

Biashara inaanza na cost then profit. So unataka kutoka cost unailipaje?(kumbuka cost ni sawa na deni la benk) Rudisha kwanza then utoke. Na kwa kuzingatia hayo ndiyo maana anayelipa anaachwa awe Huru.

Wasanii wengi wanaendekeza njaa tu lkn jambo kuu la kumsaidia mtu usiyejua atarudisheje pesa yako ni risky. Kuna kifo, kuna kuumwa n.k Unayemsaidia akipata haya matatizo anarudishaje cost za boss wake??
Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?

Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
 
Back
Top Bottom