Kwenye ngoma iyo kuna jina la kiba kama ubalozi wa tembo na ben pol ni balozi pia wa tembo tatzo timu kiba huwa mnapanic mapema sana....na kama kudis kiba ndo anaongoza kumdis mwenzie ila kwa kuwa ww una mahaba na bichwa huwez onaWao ndo wanasafiria nyota ya Kiba
Wamebandika mpaka picha ya kiba studio kwao ya nini?
Raymond kamuimba wa nini?
Sallam alitikwa mapovu kwa sababu gani?
Diamond anamuimba kiba kila Mara akitafuta nini?
Nikipata majibu hapa ya kutosha zaidi ya matusi nakata pumbu la kushoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hapo mwisho nimecheka sana.Wao ndo wanasafiria nyota ya Kiba
Wamebandika mpaka picha ya kiba studio kwao ya nini?
Raymond kamuimba wa nini?
Sallam alitikwa mapovu kwa sababu gani?
Diamond anamuimba kiba kila Mara akitafuta nini?
Nikipata majibu hapa ya kutosha zaidi ya matusi nakata pumbu la kushoto
Kavu sana huyo jamaa..[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hapo mwisho nimecheka sana.
To a majibu nitapost kila hatuaKavu sana huyo jamaa..
Akipewa majibu tutajuaje kuwa amekata huo mzigo wake?
Shubaamita zake..
Hata hivyo, ana hoja.
kwahiyo ukitumia beat sio remix?HIYO SIYO REMIX KATUMIA TU BEAT YA JAMAA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana uhakika hakuna wa kumpa majibu ndio maana kaubetia 'mzigo'.Kavu sana huyo jamaa..
Akipewa majibu tutajuaje kuwa amekata huo mzigo wake?
Shubaamita zake..
Hata hivyo, ana hoja.
Inawezekana lakini Raymond katia uchawi wake humo, manake ngoma imesimama dede kama kengele ya kanisaHahaaaaa safi sana.
Nimeikubali hiyo mistari. Imetulia.
Naona chata ya Raymond hapo.
Nahisi anaweza kuwa alishiriki katika kuiandika.
Inawezekana lakini Raymond katia uchawi wake humo, manake ngoma imesimama dede kama kengele ya kanisa
Purely artistic..Iko vizuri sana.
Vina vimekaa mahali pake.
Beti ziko vizuri.
Good use of subliminals, metaphors, and the beat is fire!
Halafu kwanini achague ya kushoto?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana uhakika hakuna wa kumpa majibu ndio maana kaubetia 'mzigo'.
All the way up...
na mhusika naye awepo kama hayupo ujue ni demo ya akapela tukwahiyo ukitumia beat sio remix?
HuuMchezooooo.......maliziaDomo ana mambo ya kike sana alipoona alikiba katoa nyimbo na barakah akaaachia salome bila kutarajia kasikia video inatoka kaja na skendo nyingine
Yote anafanya ili kiba arudi kkoo domo bwana