Diamond Platnumz: All The Way Up Volume 2 (Awataja Wema Sepetu, Hamisa Mobeto & Zari)

Diamond Platnumz: All The Way Up Volume 2 (Awataja Wema Sepetu, Hamisa Mobeto & Zari)

Wao ndo wanasafiria nyota ya Kiba
Wamebandika mpaka picha ya kiba studio kwao ya nini?
Raymond kamuimba wa nini?
Sallam alitikwa mapovu kwa sababu gani?
Diamond anamuimba kiba kila Mara akitafuta nini?
Nikipata majibu hapa ya kutosha zaidi ya matusi nakata pumbu la kushoto
Kwenye ngoma iyo kuna jina la kiba kama ubalozi wa tembo na ben pol ni balozi pia wa tembo tatzo timu kiba huwa mnapanic mapema sana....na kama kudis kiba ndo anaongoza kumdis mwenzie ila kwa kuwa ww una mahaba na bichwa huwez ona
 
Dini yake ipi inaruhusu UZINZI, ama ana dini ya siri nasi hatuijui, apunguze ubaradhuli
 
Wao ndo wanasafiria nyota ya Kiba
Wamebandika mpaka picha ya kiba studio kwao ya nini?
Raymond kamuimba wa nini?
Sallam alitikwa mapovu kwa sababu gani?
Diamond anamuimba kiba kila Mara akitafuta nini?
Nikipata majibu hapa ya kutosha zaidi ya matusi nakata pumbu la kushoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hapo mwisho nimecheka sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hapo mwisho nimecheka sana.
Kavu sana huyo jamaa..
Akipewa majibu tutajuaje kuwa amekata huo mzigo wake?
Shubaamita zake..
Hata hivyo, ana hoja.
 
Hahaaaaa safi sana.

Nimeikubali hiyo mistari. Imetulia.

Naona chata ya Raymond hapo.

Nahisi anaweza kuwa alishiriki katika kuiandika.
 
Kavu sana huyo jamaa..
Akipewa majibu tutajuaje kuwa amekata huo mzigo wake?
Shubaamita zake..
Hata hivyo, ana hoja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana uhakika hakuna wa kumpa majibu ndio maana kaubetia 'mzigo'.
 
Hahaaaaa safi sana.

Nimeikubali hiyo mistari. Imetulia.

Naona chata ya Raymond hapo.

Nahisi anaweza kuwa alishiriki katika kuiandika.
Inawezekana lakini Raymond katia uchawi wake humo, manake ngoma imesimama dede kama kengele ya kanisa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana uhakika hakuna wa kumpa majibu ndio maana kaubetia 'mzigo'.
Unajua kwanini mpaka sasa hakuna aliyehangaika kumpa majibu?
Kama hujui sema nkwambie
 
All the way up...

That's my jam right there.

I'm feelin' Remmy Ma when she spits...

I'm that nigga on Viagra dick

That means I'm all the way up

And you can stay up

P.O.s say I can't get high

Hopped in the helicopter Uber and said...

Go all the way up
Go all the way up
 
Domo ana mambo ya kike sana alipoona alikiba katoa nyimbo na barakah akaaachia salome bila kutarajia kasikia video inatoka kaja na skendo nyingine
Yote anafanya ili kiba arudi kkoo domo bwana
HuuMchezooooo.......malizia
 
Back
Top Bottom