Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Wanachungulia Uzi kwa kuibiaibiaHaters😂😂
Inapendeza
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Wanachungulia Uzi kwa kuibiaibia
Unajibu ki hoja na unatetea hoja yako,sio huyo aanaeharibu lugha kwenye s anaweka xAsante Sana kwa kunipa ujiko.
Ananikumbusha wale jamaa wakusema xaxa kwenye message wanauzi ile mbayaUnajibu ki hoja na unatetea hoja yako,sio huyo aanaeharibu lugha kwenye s anaweka x
Yani utajua tuu mtu yupoje kupitia maandishiAnanikumbusha wale jamaa wakusema xaxa kwenye message wanauzi ile mbaya
😂😂😂😂😂😂Yani utajua tuu mtu yupoje kupitia maandishi
Hawezi kupita humuRobidinyo njo utie neno Ata moja sio poa ivo unavyo tufanyia Spartacus the mnyama mkali
Aaah Numbisa kubali yaishe basiii[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] team misukule mnafurahisha
UKIWA UNASIFIWA NAMNA HII NA VYOMBO VYA KIMAGHARIBI, BASI UWE UNA HAKIKA ASILIMIA 100 WEWE UMEPOTEA NJIA KIMAADILI. WATCH OUT!Ameelezea kuwa alivutiwa sana na mbinu pamoja na ubunifu ambao anautumia msanii wa bongo flava wa Tanzania Diamond Platnumz
Kivip? Unataka kuniambia pia Wizkid nae amepoteza njia kimaadili?UKIWA UNASIFIWA NAMNA HII NA VYOMBO VYA KIMAGHARIBI, BASI UWE UNA HAKIKA ASILIMIA 100 WEWE UMEPOTEA NJIA KIMAADILI. WATCH OUT!
Akomae Africa apige hela kweli kweli kama P Square walivyopiga hela kipindi chao. Soko la Marekani sidhani kama limeshawahi kumsaidia msanii yeyote mwenye misingi hasaa ya Kiafrica kwa maana ya Lugha na aina ya muziki.Wasanii wa wanaochipukia/wa kiafrika wajifunze kutoka kwake sio akina Chriss brown, Ed sheeran, Justin Bieber coz video moja ya kati ya watu nliowataja hapo views wake ni sawa or zaidi ya video zoooote za YouTube za Diamond.
All in all jamaa anafanya vzuri amebakiza step moja tu nayo ni kuingia rasmi kwenye market ya Marekan
Huna hoja ni makelele tuu bora anijibu innocent dependent