Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa amepotosha wapi wakati ndivyo wenyewe walivyoandika?! YouTube wamezungumzia wasanii wa USA (and of course na sehemu zingine duniani) wanaotaka kwenda global; sasa how come unataja Wasanii Wakubwa wakati wao wapo global?! Au unadhani Msanii akiwa US ndo automatically anakuwa global simply because yupo US?!Haujaeleweka au umeamua kupotosh
Viewes za star wakubwa wengi usa na kwingine ziko mpaka za 2billion, views za 200m ni za kawaida sana
Nadhan unazungumzia afrika
Rephrase usionekane hamnazo
Ni kama anavyofanyaga MO kuwalipa Forbes ili wamtangaze billionea.Mond amewalipa billboard wam promote in Robidinyo voice[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wasanii wa Kenya wameridhika kama wasanii wengi wa bongowakenya wapo wengi lakini bado hawawezi kushindana na sisi wanaotumiza kichwa ni hawa waNaija na SA.
Haaahha ume comment kinyonge sana. Tatizo nini ?Cheiiiii
Huna jipyaHamna sio hivyo bali maboresho ya ignore list yananipunguza kasi. Team domokaya msiniweke ignore list ee. Zari akirudia matapishi yake nae ntamuona msukule tu
Unaonaje wewe ukifanya hivo ?Unge expand mpk kwa Konde gang Tembo mbona umemkata?
Mkuu, mimi siyo meneja wa youtube wala sihusiki na chochote huko BILLBOARD, nimekuletea hii ili kukufunua tu.mara nyingine ukiwa mtu wa kupinga sana ukweli ipo siku utapingana na jinsia yakoHaujaeleweka au umeamua kupotosh
Viewes za star wakubwa wengi usa na kwingine ziko mpaka za 2billion, views za 200m ni za kawaida sana
Nadhan unazungumzia afrika
Rephrase usionekane hamnazo
Safi mkuuSasa amepotosha wapi wakati ndivyo wenyewe walivyoandika?! YouTube wamezungumzia wasanii wa USA (and of course na sehemu zingine duniani) wanaotaka kwenda global; sasa how come unataja Wasanii Wakubwa wakati wao wapo global?! Au unadhani Msanii akiwa US ndo automatically anakuwa global simply because yupo US?!
[emoji23][emoji23][emoji23] Numbisa [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Usinichonganishe mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Numbisa [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa Domo kawachangamsha kidogo wasanii wetu wa Bongo.Naona wasanii wa Kenya wameridhika kama wasanii wengi wa bongo
Ila ukweli ni kwamba Diamond amefanya wasanii wengi wa bongo waanze kujitambua na kuielewa thamani yao.
Kupambana na Wanaija na wa-SA sio kazi ndogo kwa sababu wote hao wana advantage ya diaspora wa kumwaga karibu kote duniani. Na kwa Nigeria ukichanganya na population yao, basi ni taabu tupu. Mbaya zaidi, both Naija na SA ni entertainment centers za Afrika! Kwahiyo mtu kama Diamond kula sahani moja na watu kama hao inaonesha wazi jinsi anavyokaza! Hiyo ni kama msanii kutoka Ufaransa kula sahani moja na wasanii wa USA; na yenyewe sio kazi ndogo!!!wakenya wapo wengi lakini bado hawawezi kushindana na sisi wanaotumiza kichwa ni hawa waNaija na SA.
Kweli unachosema sio kazi rahisi kupambana hii vita, Kinachotakiwa wasanii wetu wazidi kufanya kazi nzuri nakuongezajuhudi zaidi.Kupambana na Wanaija na wa-SA sio kazi ndogo kwa sababu wote hao wana advantage ya diaspora wa kumwaga karibu kote duniani. Na kwa Nigeria ukichanganya na population yao, basi ni taabu tupu. Mbaya zaidi, both Naija na SA ni entertainment centers za Afrika! Kwahiyo mtu kama Diamond kula sahani moja na watu kama hao inaonesha wazi jinsi anavyokaza! Hiyo ni kama msanii kutoka Ufaransa kula sahani moja na wasanii wa USA; na yenyewe sio kazi ndogo!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haaahha ume comment kinyonge sana. Tatizo nini ?
Waberoya Naona mzee Kama umeumia hivHii mbona haisemwi?
Yaani kuna watu Diamond anazishusha tu nguo
Huu ndio ukweli
Kwani mada inasemaje?Unge expand mpk kwa Konde gang Tembo mbona umemkata?
Na wakati umembeba!! Haya mambo ya billboard ndo kwanza yamekuja kipindi hiki huku kwetu!!Diamond ni msanii wa kihistoria kuwahi kutokea Tanzania. Hajawai kutokea.