Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hata sijui nimeona tuu kina DavidoKwani mada inasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sijui nimeona tuu kina DavidoKwani mada inasemaje?
Topic nzima inahusiana na Diamond kutokana na jarida la billboard kumtolea mfano yeye namna ambavyo anapuch music wake kupitia YouTube sasa wewe mbona unamtaja harmonize?Hata sijui nimeona tuu kina Davido
[emoji28][emoji28]hapana mkuuUsinichonganishe mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi kumbe ni kosa eee? mbona hujamind nimemtaja davidoTopic nzima inahusiana na Diamond kutokana na jarida la billboard kumtolea mfano yeye namna ambavyo anapuch music wake kupitia YouTube sasa wewe mbona unamtaja harmonize?
Wewe umeongea as if Ni lazima harmonize atajwe au ameonewa ndo maana nikakuambia hivyo.Hivi kumbe ni kosa eee? mbona hujamind nimemtaja davido
Sijasema atajwe nimesema mbona amescreen short akaacha jina la harmonize? Kama watanzania tulipaswa kuwapa sapoti wote japo tunajua baba lao ni dimond lakini Harmo nae yupo nyuma na anafanya vzr. Kutomsifia au kumsifia Harmo hakumpaishi au kumshusha mond. Na kuhusu uzi ni wa dimond mbona watu wanawajadili kina davido kina burner?Wewe umeongea as if Ni lazima harmonize atajwe ndo maana nikakuambia hivyo.
Sijasema atajwe nimesema mbona amescreen short akaacha jina la harmonize? Kama watanzania tulipaswa kuwapa sapoti wote japo tunajua baba lao ni dimond lakini Harmo nae yupo nyuma na anafanya vzr. Kutomsifia au kumsifia Harmo hakumpaishi au kumshusha mond. Na kuhusu uzi ni wa dimond mbona watu wanawajadili kina davido kina burner?
Jamaa anazidi kupaa tuNa leo wame mzungumzia tena Billboard, huku WCB ikitajwa moja ya label kubwa Africa.Kuna watu sio wa kuwachukia kwani ukimchukia atakukera tu.
View attachment 1467678View attachment 1467679
Cajojo Hapo sio tu yupo harmonize mpaka rayvanny nae yupo ila nae ajazungumzwa hao waliomtaja Davido au burna boy awajazungumza Kama wewe ila wewe umemtaja Harmonize as if ameonewa au amebaniwa na mtoa mada ndio maana nimekujibu hivyo I think utakuwa umenielewa.Sijasema atajwe nimesema mbona amescreen short akaacha jina la harmonize? Kama watanzania tulipaswa kuwapa sapoti wote japo tunajua baba lao ni dimond lakini Harmo nae yupo nyuma na anafanya vzr. Kutomsifia au kumsifia Harmo hakumpaishi au kumshusha mond. Na kuhusu uzi ni wa dimond mbona watu wanawajadili kina davido kina burner?
Nimekuelewa mdogo wanguCajojo Hapo sio tu yupo harmonize mpaka rayvanny nae yupo ila nae ajazungumzwa hao waliomtaja Davido au burna boy awajazungumza Kama wewe ila wewe umemtaja Harmonize as if ameonewa au amebaniwa na mtoa mada ndio maana nimekujibu hivyo I think utakuwa umenielewa.
Huna hoja ni makelele tuu bora anijibu innocent dependentSi ka screenxhot kwa uwamuzi wake na cm yake kwn we unashindwa kwenda uscreenxhot unayotaka ww ukaja kutupostia hapa
Usimpangie mtu maamuzi yake
😁😁😁nasubil kwa hamu komenti ya Numbisa jipange mzee kwa povu la Numbi aka Diva
Asante Sana kwa kunipa ujiko.Huna hoja ni makelele tuu bora anijibu innocent dependent