Diamond Platnumz ang'ara kwenye jarida la Billboard kwa kufanya vizuri Youtube

Ameelezea kuwa alivutiwa sana na mbinu pamoja na ubunifu ambao anautumia msanii wa bongo flava wa Tanzania Diamond Platnumz
UKIWA UNASIFIWA NAMNA HII NA VYOMBO VYA KIMAGHARIBI, BASI UWE UNA HAKIKA ASILIMIA 100 WEWE UMEPOTEA NJIA KIMAADILI. WATCH OUT!
 
Akomae Africa apige hela kweli kweli kama P Square walivyopiga hela kipindi chao. Soko la Marekani sidhani kama limeshawahi kumsaidia msanii yeyote mwenye misingi hasaa ya Kiafrica kwa maana ya Lugha na aina ya muziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…