Nani kasema?Actually nishajaribu nikaona hiyo siyo kazi kiukweli kabisa yani, nishajaribu na evans bukuku, nikajaribu na steve nyerere walikuwa na project nikashindwa, na mimi ndiye niliyewalet down wakaachana na hiyo project now ni one of the best structural engineer in tz
Kwa eneo lilipo hiyo nyumba hiyo mil.100 ni ndefu sana.Mkuu hujui kwamba bei inategemea vitu vingi, mfano eneo iliopo
Sasa matatizo yako wapi?Hiyo Nyumba haifiki mil 100,nyumba ya mil 60 eti imekuwa 100?Tena hata 60 sidhani Kama inafika.
Sina wivu lakini hii nyumba mhhh!Diamond platnumz ameendelea kuonyesha yeye ni msanii wa kuigwa baada ya leo hii kununua nyumba mpya iliyopo dar es salaam maeneo ya salasala mwanzo
Nyumba hiyo imemgharimu diamond zaidi milion 100 za kitanzania.
Wasanii wengine wanapwa kuekeza kwenye ardhi ili kesho yake wasikose pakujificha.
Hongera sana kijana diamond una umri mdogo lakini unajitambuaView attachment 340753View attachment 340754View attachment 340755View attachment 340756View attachment 340757View attachment 340761
Hiyo Nyumba haifiki mil 100,nyumba ya mil 60 eti imekuwa 100?Tena hata 60 sidhani Kama inafika.
Umekuwa sasa hayo maneno ya kihuni ya nini?sema bwana na siyo bana!!Hii nyumba siyo mpya bana we vipi?
Dah ivi kwanini hua wasanii hawaoni mbali kha! hua siku zote najiuliza suala la showoff maigambo masifa kwanini linachukua nafasi kubwa saana kwa watanzania? tunawapita mpaka waliozoea maisha hayo Wacongo? natamani siku moja nione DIAMOND spring water/DIAMOND appartment to let/DIAMOND unga safi wa ugali/DIAMOND mango juicy/DIAMOND cargo we transport country wide/DIAMOND petrol stations/DIAMOND full furnished appartments country wide/DIAMOND milk/Chocolate/DIAMOND plastic materials/ etc etc na kwa wengine dah mtu anakua amesecure future yake milele hata siku akiamua acha mziki powah tu!
Hata ardhi nayo itamuongezea kipato na vitukuu vitamkumbukaafungue macho kwenye fursa zingine za kumwingizia kipato kama biashara, awekeze kwenye vitu ambavyo hata mjukuu atakuja kula na kumkumbuka babu yake.
We una nyumba wapi?Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
Hapo nskubaliana na wewe amejengabkiswahili sana mimi pamoja na unasikini wangu siwezi kujenga nyumba ivo lazima niwe na eneo la kutosha na dieezi jenga kwenye mbanano.Apo tu ndo napochoka na wasanii wetu nyumba zao azina ata maali ya kuotesha maua ni parking ikizidi sana swiming pool ukuta uko ziro distance na dirisha aaah! Bora ununue shamba la m100 ujenge nyumba ya m 20
Diamond nyumba zake zote zimekaa kiswahili ila mswahili ni mswahili tu
he is doing a great job maaan.....sasa wewe endelea na roho mbaya...mimi huyu dogo simpendi kwa sbabu ya U CCM wake na si vinginevyoUmasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
anajua sana. team kiba huyoMkuu hujui kwamba bei inategemea vitu vingi, mfano eneo iliopo
LOL yaan bora hayo mawazo yako usingeyaandika, ungeyawaza tu ukabaki nayo mwenyeweUmasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
ndo maana kuna neno linaitwa UKARABATIhiyo nyumba haiko na space na kitchen ndogo ya kizamani choo za kishamba zile za sinki lakini unachuchuma wakati wa kukata gogo.kwa kifupi kashikishwa.
swissme
sipend mirangimbona inamarangirangi utafikiria nyumba za wapale.
swissme