Diamond Platnumz anunua nyumba mpya

Diamond Platnumz anunua nyumba mpya

Actually nishajaribu nikaona hiyo siyo kazi kiukweli kabisa yani, nishajaribu na evans bukuku, nikajaribu na steve nyerere walikuwa na project nikashindwa, na mimi ndiye niliyewalet down wakaachana na hiyo project now ni one of the best structural engineer in tz
Nani kasema?
 
Hiyo Nyumba haifiki mil 100,nyumba ya mil 60 eti imekuwa 100?Tena hata 60 sidhani Kama inafika.
Sasa matatizo yako wapi?
Ikiwa 2M Au tatu au nne ni zako?
Pili pili iko jikoni Na wewe unawashwa washwa Na nini?
 
Diamond platnumz ameendelea kuonyesha yeye ni msanii wa kuigwa baada ya leo hii kununua nyumba mpya iliyopo dar es salaam maeneo ya salasala mwanzo
Nyumba hiyo imemgharimu diamond zaidi milion 100 za kitanzania.
Wasanii wengine wanapwa kuekeza kwenye ardhi ili kesho yake wasikose pakujificha.
Hongera sana kijana diamond una umri mdogo lakini unajitambuaView attachment 340753View attachment 340754View attachment 340755View attachment 340756View attachment 340757View attachment 340761
Sina wivu lakini hii nyumba mhhh!
 
Dah ivi kwanini hua wasanii hawaoni mbali kha! hua siku zote najiuliza suala la showoff maigambo masifa kwanini linachukua nafasi kubwa saana kwa watanzania? tunawapita mpaka waliozoea maisha hayo Wacongo? natamani siku moja nione DIAMOND spring water/DIAMOND appartment to let/DIAMOND unga safi wa ugali/DIAMOND mango juicy/DIAMOND cargo we transport country wide/DIAMOND petrol stations/DIAMOND full furnished appartments country wide/DIAMOND milk/Chocolate/DIAMOND plastic materials/ etc etc na kwa wengine dah mtu anakua amesecure future yake milele hata siku akiamua acha mziki powah tu!
 
Dah ivi kwanini hua wasanii hawaoni mbali kha! hua siku zote najiuliza suala la showoff maigambo masifa kwanini linachukua nafasi kubwa saana kwa watanzania? tunawapita mpaka waliozoea maisha hayo Wacongo? natamani siku moja nione DIAMOND spring water/DIAMOND appartment to let/DIAMOND unga safi wa ugali/DIAMOND mango juicy/DIAMOND cargo we transport country wide/DIAMOND petrol stations/DIAMOND full furnished appartments country wide/DIAMOND milk/Chocolate/DIAMOND plastic materials/ etc etc na kwa wengine dah mtu anakua amesecure future yake milele hata siku akiamua acha mziki powah tu!

Mkuu Tatizo ni soko letu bado Chang's sana... Ingekuwa Diamond ni msanii wa Nigeria vyote hivo angekuwa kafanya ila kwetu sisi ni bado sana labda bidii yake ndio inambeba anaenda taratibu..

Nigeria kusikia mtu kapewa ubalozi bilioni mbili kwa mwaka ni kawaida mkuu, wadau wao wanawajali sana wasanii na hata shows wanalipwa vizuri mno...
 
afungue macho kwenye fursa zingine za kumwingizia kipato kama biashara, awekeze kwenye vitu ambavyo hata mjukuu atakuja kula na kumkumbuka babu yake.
Hata ardhi nayo itamuongezea kipato na vitukuu vitamkumbuka
kila mtu anawekeza pale anapoamini hapatamuangusha
 
Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
We una nyumba wapi?
 
Thaman yake ni sawa.nyie mmejengaa? hamjui hata thamani za nyumba.rangi tu nikama m 2 kwenda mbele.gata nikama m
1.Vigae nikama m 5.pevin brock m
15.madilisha m 4.bati kama m 2.5. Bado jipsom fance .boma.milango.grill.siment.pvc board.ujenz ni noomaaa.ukitaka kujua ujenz ni nomaaa.jenga uku unaandika kila kitu mpaka nauli ynaweza sema hzo hela ulizitoa
wapi
 
Apo tu ndo napochoka na wasanii wetu nyumba zao azina ata maali ya kuotesha maua ni parking ikizidi sana swiming pool ukuta uko ziro distance na dirisha aaah! Bora ununue shamba la m100 ujenge nyumba ya m 20
Diamond nyumba zake zote zimekaa kiswahili ila mswahili ni mswahili tu
Hapo nskubaliana na wewe amejengabkiswahili sana mimi pamoja na unasikini wangu siwezi kujenga nyumba ivo lazima niwe na eneo la kutosha na dieezi jenga kwenye mbanano.
 
Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
he is doing a great job maaan.....sasa wewe endelea na roho mbaya...mimi huyu dogo simpendi kwa sbabu ya U CCM wake na si vinginevyo
 
Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
LOL yaan bora hayo mawazo yako usingeyaandika, ungeyawaza tu ukabaki nayo mwenyewe
We mwenyewe ni maskini wa fikra, umetudhihirishia. Soma uliachoandika halaf jicheke
 
Kuna wanaume wana wivu humu! Pigeni kazi nyie, wivu tuachieni sie. Kanunueni za kwenu huko masaki osterbay na kwingineko. Yeye kaamua hiyo aliyonunua..thats it! Ni pesa yake na ni chaguo lake pia!
 
Kuna watu jamii forum ni wa ajabu sana kila kitu wanajifanya wajuaji! Kwa mtu ambaye ameshajenga tayari kwa bei ya 100m ni sawa kabisa,tena kapata bei nafuu! Halafu kwanza kwa hizo picha huwezi kujua size ya kiwanja ambacho chenyewe kinaweza kuwa na thamani ya 20-30m!
 
Back
Top Bottom