Diamond Platnumz anunua nyumba mpya

Kama ni kweli basi hongera sana kwake.

You can hardly ever go wrong with a real estate investment.

Kwa background ya jamaa, shule yake na mafanikio anayoyaonesha nadhani ni wachache humu JF wanaoweza kuwa wamempita.

Dogo anajitahidi sana.
 
Wakina jux wana ma hekalu ya maana wametulia, hyu cheusi dawa kanunua nyumba ya kawaida hatupumui
 
Diamond! Diamond! Diamond!.... Na 71% yetu.
 
Mtoa mada unafanya kazi uliyotumwa vizuri
KING KIBA AMEZIMIA KWA ZAIDI YA MASAA KUMI BAADA YA KUPATA TAARIFA HIZI ZA MAENDELEO MFALME HALISI WA MUZIKI AFRIKA(DIAMOND PLATNUMZ)
 
Hongera kwa maono ya mbali maana muziki hauna garentii waweza kurudi kwenye umaskini wakati wowote.
 
Wakina jux wana ma hekalu ya maana wametulia, hyu cheusi dawa kanunua nyumba ya kawaida hatupumui
Jux ni kama Ray tu anaishi kwao bado anafugwa na bi mkubwa wake halafu hakuna artist anaeweza miliki mjengo wa angalau millioni 70 akauchuna no Hawa watu ni show off nyingi hawawezi kuweka siri ya vitu vyao
 
diamond punguza mwendo kidogo yule BOYA atajinyonga kwa pressure..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…