Diamond Platnumz apata shavu kutoka kwenye movie ya Coming 2 America

Diamond Platnumz apata shavu kutoka kwenye movie ya Coming 2 America

Hamna kutumikishwa na label bali unatimiza wajibu wako,kwani hata hao wanaojitoa kwenye label nao wana anzisha lebel (Harmonize,Mavocco).Mpaka unaona nao wameanzisha label manake wameona faida kwao na kwa wasanii wanao wasaini.

Sababu label inampunguzia mzigo sanii mchanga,kuanzia promo,distribution ya kazi zake.

Cha muhimu waingie mikataba ambayo ipo fair na kuhusu maswala ya mikataba wasanii wachache sana ndio wanaotilia mkazo.Kuna wasanii wakubwa wenye majina makubwa,hawapo kwenye label ,pamoja na mikataba yao kuisha na makampuni waliokuwa wana yatangaza lkn bado wananing'inia kwenye mabango.Hapo ndio ujua elimu kuhusiana na maswala ya mikataba inahitajika kwa wasanii wa level zote.

Ikiwezekana mikataba kuwe na mtu watatu kama BASATA aikague basi angalie kama ni win win,ila kwangu mimi label bado ni muhimu sana na ndio maana Nick Minaj,Rihanna,Drake pamoja na ukubwa wao na hela zao bado wapo chini ya label.
Umesema vema, hata mimi sipingani na uwepo wa Label wala mmiliki wake kupata faida Kwasababu ule ni uwekezaji na lengo ni faida.

Ila sikubaliani msanii kuuza kwa asilimia 100 hatimiliki ya kazi zake za ubunifu.

Huo ujinga ndio mpaka leo umemfanya Saida Karoli kuendelea kuwa masikini siku zote wakati kazi zake mpaka sasa watu wanapiga pesa.

Hata bongo movie, movie za Kanumba zipo na zinarushwa kwenye TV lakini siyo mali yake tena.

Kumbuka ubunifu siyo kitu cha milele. Leo hata Ferooz, Mb doggy au Pfunk hawawezi kutengeneza hits tena.
 
Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.

Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).

Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.

Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.

Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.

Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Una roho ya tamaa diamond angekua star hajasaidia hao watu na akawa kafika hii hatua sijui mngesemaje?? Wote aliowaashika diamond ni east africa stars na wamefikia hatua ya kulisha familia zao kwani angewaacha wangekua wapi? Leo ? Haya maisha ni kushukuru kwa kila utakachopata.
 
Hii movie trailer lake tu ni shida, lazima wapige pesa mingi. Ni bahati mbaya tu inatoka kipindi cha Corona, lakini walitakiwa warudishe gharama zao zote siku mbili tu
 
Hilo jamaa ndio kilivyo muda wote lina frustration ya ajira.hasira hua anazimalizia kwa mondii au magufuli.
Nisivyopenda mijitu negative ni kupiga ignore tu
 
kunta kinte
Hii movie niliiona 2005 au 2006 ITV.

Alipigwa mijeledi kisa alikataa kubadili jina alilopewa na master wake. Anapewa majina John, Toby na mengine ili achague jina mojawapo. Mwamba anakataa yeye ni black na jina lake ni Kunta Kinte.

Ila mwishoni ali-give up! Mijeledi ilimzidi.
 
Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.

Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).

Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.

Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.

Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.

Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Mbona huu utaratibu ni universal (label au management kumiliki masters ya kazi za msanii)
 
Hivi huu wimbo wa Halelujah si ndio ulipigwa marufuku na BASATA huku Tz!?

Ama kweli kama imo imo tu!
 
Back
Top Bottom