- Thread starter
- #21
Kuna watu hutakiwi kuwachukia.Mzee wa kuwakera 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hutakiwi kuwachukia.Mzee wa kuwakera 🤪
Umesema vema, hata mimi sipingani na uwepo wa Label wala mmiliki wake kupata faida Kwasababu ule ni uwekezaji na lengo ni faida.Hamna kutumikishwa na label bali unatimiza wajibu wako,kwani hata hao wanaojitoa kwenye label nao wana anzisha lebel (Harmonize,Mavocco).Mpaka unaona nao wameanzisha label manake wameona faida kwao na kwa wasanii wanao wasaini.
Sababu label inampunguzia mzigo sanii mchanga,kuanzia promo,distribution ya kazi zake.
Cha muhimu waingie mikataba ambayo ipo fair na kuhusu maswala ya mikataba wasanii wachache sana ndio wanaotilia mkazo.Kuna wasanii wakubwa wenye majina makubwa,hawapo kwenye label ,pamoja na mikataba yao kuisha na makampuni waliokuwa wana yatangaza lkn bado wananing'inia kwenye mabango.Hapo ndio ujua elimu kuhusiana na maswala ya mikataba inahitajika kwa wasanii wa level zote.
Ikiwezekana mikataba kuwe na mtu watatu kama BASATA aikague basi angalie kama ni win win,ila kwangu mimi label bado ni muhimu sana na ndio maana Nick Minaj,Rihanna,Drake pamoja na ukubwa wao na hela zao bado wapo chini ya label.
huu ni wivu wa kike, maparasite mnaboa sana yaani.Mmakonde yeye yuko busy kutafuta kiki na kahaba nguli
Tulia Hbaba.huu ni wivu wa kike, maparasite mnaboa sana yaani.
kwani unamtaka huyo kahaba au harmonize???
Una roho ya tamaa diamond angekua star hajasaidia hao watu na akawa kafika hii hatua sijui mngesemaje?? Wote aliowaashika diamond ni east africa stars na wamefikia hatua ya kulisha familia zao kwani angewaacha wangekua wapi? Leo ? Haya maisha ni kushukuru kwa kila utakachopata.Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.
Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).
Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.
Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.
Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.
Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Aisee.... I can't wait..
[emoji1787] dah basi ndiomanaHilo jamaa ndio kilivyo muda wote lina frustration ya ajira.hasira hua anazimalizia kwa mondii au magufuli.
Nisivyopenda mijitu negative ni kupiga ignore tu
Hii movie niliiona 2005 au 2006 ITV.kunta kinte
Kumbe na wewe unalijua jamaa sijui ana shida gani kichwani?Hilo jamaa ndio kilivyo muda wote lina frustration ya ajira.hasira hua anazimalizia kwa mondii au magufuli.
Nisivyopenda mijitu negative ni kupiga ignore tu
Mbona huu utaratibu ni universal (label au management kumiliki masters ya kazi za msanii)Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.
Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).
Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.
Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.
Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.
Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Ndio utaamini bongo nyoso [emoji3]Hivi huu wimbo wa Halelujah si ndio ulipigwa marufuku na BASATA huku Tz!?
Ama kweli kama imo imo tu!
Wewe siyo mzima kabisaaa!king kiba nyimbo yake ya mediocre ipo kwenye fast and furious 9 na hutamsikia akitafuta kiki, hail to the king.
Sawa dada kajalahuu ni wivu wa kike, maparasite mnaboa sana yaani.
kwani unamtaka huyo kahaba au harmonize???