Lugha kama hzi hazina faida yoyote kwenye maisha yako.Fala Sana we jamaa , halafu utakuwa unalipwa kiduchuu
Mm niliuliza swali tu maana naeleawa huyo mwanamuziki ni mtanzania na angepata nafasi pengine milango ingefunguka kwa vijana wetu wengine.
Ajira zenyewe serikali na nchi tumezidiwa. Vijana wakifanya vizuri kwenye filamu na mziki tunapata ahueni.