mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
zuchu.Sawa dada kajala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zuchu.Sawa dada kajala
Sawa mama paulazuchu.
Eb tupe habari, Kwahiyo unamaanisha iyo ngona ya mondi haijapigwa kwenye iyo muvi???Woiiiii coming to america 2 imetoka mrejesho wa huo wimbo?misukule bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kiki kila kona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23] khaaaaaahWoiiiii coming to america 2 imetoka mrejesho wa huo wimbo?misukule bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kiki kila kona
Hata daimond alikuwa hivyoo siumeona ametulia?Mmakonde yeye yuko busy kutafuta kiki na kahaba nguli
Eb tupe habari, Kwahiyo unamaanisha iyo ngona ya mondi haijapigwa kwenye iyo muvi???
Nmeanglia movie mara mbili sijasikia nyimbo ya mondi
Davido ndo katisha sana na nyimbo yakw assurance
Davido na Burnaboy naona wameplay part kubwa sana.Nmeanglia movie mara mbili sijasikia nyimbo ya mondi
Davido ndo katisha sana na nyimbo yakw assurance
Sio kwamba ulipaswa kuhuzunika kwa huyu kijana mtanzania kutokuwepo humo?Haya chawa wa WCB mkuje huku mtupe mrejesho, movie imeshatoka mbona hatujaona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkome na kilanga na ngeda, pumbavu zenu. Msieeeeew
Wimbo Hallelujah wa Diamond Platnumz wapata shavu kwenye filamu ya Coming 2 America, itakayo achiwa tarehe 5 March 2021.
Source:SnS.
Pia PFunk ataendelea kulipwa miaka yote na DisneyHapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.
Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).
Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.
Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.
Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.
Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Vijana hizi chuki za ajabu namna hii mnazitolea wapi?! Ni wapi Diamond alipothibitisha nyimbo zake kutumika kwenye hiyo movie?!aiseee mondi katulisha chai mchana kweupeeeeeee.....maninaaaaa zakeeeddd