DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Uo mwili ndo mzuri
Sasa kunenepa ndo Nini
Sasa kunenepa ndo Nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila diamond hajawahi kunenepa au kuwa na mwili mnene tangu aanza mziki ingekuwa kama alikuwa na mwili mkubwa gafla akaanza kuisha ningekubaliana na wewewala sibahatishi ninachoongea,nina experience na hii kitu na watu wanaonizunguka wanaotumia marijuana,bangi inakondesha mkuu acha kabisa.ninawafahamu watu kama wanne walikuwa na miili iliyonawili ila walipoanza kutumia bangi wamebaki skeleton
Huyu kijana hapo Hakosi UTI sugu. Siamini kama inapita wiki ajatiana nahuyi anavyosigiaga kwa mpalange hakosi utiU.T.I hii atakaa sawa tu
🤣🤣🤣🤣🤣Apunguze kulamba pipi
Thanks broo....haijuridii tenaUsimunyoshee mwenzio kidole either iwe kwa kumaanisha au kwa kutania!!!It's very heavy omba yasikukute @ Lakunle
Celine Dion!Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.
Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.
"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.
View attachment 2424879