Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

Atuambie ana urefu gani na kilo ngapi ili tumtafutie Body Mass Index, BMI.

Na anatakiwa ajue tofauti ya kukonda na kuwa mwembamba.

Inashangaza mtu kama Diamond kuishangaa afya yake badala ya kutumia fedha alizonazo kupata ushauri wa kiafya.

Bora ukose mali upate akili maana ukiwa na hizo mali kama akili huna, basi ni bure!
Leo ni umuongelee asante kwa saport
 
1670702321032.png

Kama na yeye anashangaa hivi!!
 
awe makini na zuchu, atakuwa anamnyonya damu yule
 
Khaaas ana stress fulani hivi kwenye investments zake na life kwa ujumla
 
Bangi bangi bangi bangi bangi,hiyo kitu sio poa maana inafyonza mwili na inaleta njaa na hata ukila hunenepi.
 
Hapo mkuu umetupiga na kitu kizito ebu pitia comment yako upi alafu jiulize ulichoandika ni sahihi
wala sibahatishi ninachoongea,nina experience na hii kitu na watu wanaonizunguka wanaotumia marijuana,bangi inakondesha mkuu acha kabisa.ninawafahamu watu kama wanne walikuwa na miili iliyonawili ila walipoanza kutumia bangi wamebaki skeleton
 
Likonde tu na lizidi kukonda sana kwanza limetuasi sisi Me kwa kutoboa pua [emoji35]
Kauli hiyo sio ya busara sababu kila mtu ana haki ya kuishi anavyotaka!!!!!Sio lazima watu wote waishi kwa imani au mtazamo unaoamini wewe ni sahii!!!Binadamu tuna kawaida ya kua na mapungufu
 
Back
Top Bottom