The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Leo ni umuongelee asante kwa saportAtuambie ana urefu gani na kilo ngapi ili tumtafutie Body Mass Index, BMI.
Na anatakiwa ajue tofauti ya kukonda na kuwa mwembamba.
Inashangaza mtu kama Diamond kuishangaa afya yake badala ya kutumia fedha alizonazo kupata ushauri wa kiafya.
Bora ukose mali upate akili maana ukiwa na hizo mali kama akili huna, basi ni bure!