Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na kitambi ni sifa??Matatizo ya kula magengeni,kamuacha Zari,saa hizi angekuwa anamkaangia misosi nyumbani na kitambi kingeshajitokeza...
una mwanasheria?Madawa ya kulevya
[emoji3][emoji3][emoji3]Linawachanganya watanzania wengi na nani? Labda yeye na mama yake binafsi halinichanganyi.
stressSijui hili ni tatizo gani? Ndani ya miezi miwili nimepungua sana uzito ikabidi nikapime UKIMWI lakini sina.
Nakula vizuri tu ila mwili unapungua kwa kasi.
miguu😂Hiyo michongoma SASA[emoji1787][emoji1787]
hahaha wewe jamaa bana... kachawa kabobeziKwani kale kachawa kabobezi ka WCB sinza pazuri hakana majibu ya hii issue?
ile pisi ni ya kuweka uzi kwel?😂Shauriyakee.
Ila mchizi 😂😂punguza gubuile pisi ni ya kuweka uzi kwel?😂
Yupo na zuchu , akiwa na tipw tipwa anakuwa tipwa Sasa hivi ni yuponakimbau mbau lazima awe kimbau mbauKutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.
Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.
"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.
View attachment 2424879