Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee aisje kuwa kama Jamaa wa Dar StandupMadawa ya kulevya
Umenikumbusha wakat nipo chuo nilkuwa natumia sana hvyo vitu kila wkend nilinawili hatar nikawa hadi na kakitambi na mkono ukawa mkubwa,Yawezekana kwakuwa hali kitimoto na bia!
Aache
Unategemea yule binti aliyeenda show akakuta watu 8 asitumie madawa kwa ile hali?Aache
Heb dadavua hii kidogo chief..Nani huyo na wapi hiyo..samahan lakinUnategemea yule binti aliyeenda show akakuta watu 8 asitumie madawa kwa ile hali?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hii sio promo mond ana kingoloka sana na izo picha anapiga na simu nzur angepigwa na tecno Spark ungeshangaaMwenzenu anajipigia debe kimtindo nyie mnashika mabango.
Sifa ya pesa ni kumfanya mtu zid kuwa chalii daily.Kosa pesa uone, unazeeka haraka haraka 😂
Kuacha matumiz ya dawa za kulevya ni clinic unatakiwa asimame kimziki walau mwakaAache madawa....atabaki kichwa tu shauri ake
Kapicha ka Before na After ili tulinganishe.
😂😂😂😂
Nashangaa[emoji2]Mkuu,huna hata kapicha kakusindikizia Uzi?
Ngada?Kwani ngada kaacha hadi ashangae?
Kitambi sio afyaMatatizo ya kula magengeni,kamuacha Zari,saa hizi angekuwa anamkaangia misosi nyumbani na kitambi kingeshajitokeza...
Awahi clinic kabla hajawa diamond benzikuacha matumiz ya dawa za kulevya ni clinic unatakiwa asimame kimziki walau mwaka