Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.

Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.

"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.

View attachment 2424879
Kazi ya Simbwa fc hiyo, hili timu linatuharibia nguvu kazi nchini

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.

Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.

"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.

View attachment 2424879
Kama sio ugonjwa ni poa tu,ma unene ya nini!?
 
Dona
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif

Ukijumliza na mbususu anazo chakata mfululizo, anakosa mapumziko! Nakumbuka hata rick_ross alisha zima kwa 7bb kama hizi mwili haupumziki, pombe, mi bangi, wanawake, studio, show bado matangazo anapumzikaje
 
halali muda wa kutosheleza anawaza kutunga nyimbo na biashara zakeee
anawaza alozaa nao kila mmoja anataka haki yakeee
anawaza maendeleo
anawazaa
anawazaaa -- anahitaji mshauri mzuri wa kisaikolojia kwa maisha ya baadaee
 
Back
Top Bottom