JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
"Living Fast & Dying Young"!?Aisee na anaisha kwa spidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Living Fast & Dying Young"!?Aisee na anaisha kwa spidi
CHUZUAnanyonywa damu, na nani sasa
Nilikua naitafuta hiiAkapime na ngoma
Nashanga sijaona comment yake apaKwani kale kachawa kabobezi ka WCB sinza pazuri hakana majibu ya hii issue?
Grid ya taifa siku hiz hata masikini kapuku haimkondeshi....halaf hiz taarifa binafsi za watu mnazipata vipi? Sio poa kuwazushia zushia watu mambo hayo.Moja ya vitu hivi kinaweza kikawa kimechangia:-
-Gridi ya Taifa.
-Kitu cha Pele.
Akapime ngoma au cancer ya kongosho,,Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.
Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.
"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.
View attachment 2424879
Wapi hii ilikuwa?Zuchu
Ukitaka ukweli huyu jamaa ana miguu mibaya wanawake wanatustahimilia sanaKutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema kuwa hata yeye haelewi sababu za kupungua.
Diamond Platnumz ameyasema hayo katika mtandao wa Instagram huku akionesha kushangazwa kutokana na kuendelea kupungua mwili wake kadiri siku zinavyokwenda. Alieleza kuwa si yeye pekee anayeshangazwa na mwili
wake kuendelea kupungua bali hata Watanzania wote wamekuwa wakiibua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.
"Halafu nimekuwa mdogo kila siku nazidi kuwa mdogomdogo. Hilo suala linawachanganya Watanzania wengi," aliandika Diamond Platnumz.
View attachment 2424879
Kabla haujagundua na kuanza kutumia "mbaazi" lazima ikuchape kwanza.Grid ya taifa siku hiz hata masikini kapuku haimkondeshi....halaf hiz taarifa binafsi za watu mnazipata vipi? Sio poa kuwazushia zushia watu mambo hayo.
NdiyoooHiyo quote ya Mandonga mtu kazi
Hahahaha kwamba unamaanisha?Ananyonywa damu, na nani sasa
Chek youtube..si juzi juzi tu hapo usaKwahiyo Kaenda kwenye show kakuta Watu8 ?e bwana ee nchi inaenda kasi hii sikulijua hil 😂
U.S.aWapi hii ilikuwa?