Diamond Platnumz ashinda tuzo tatu AFRIMA

Diamond Platnumz ashinda tuzo tatu AFRIMA

Mjue kutofautisha mambo ya kiushabiki na kipaji cha mtu...kihalisia Tz tunao wanamziki wazuri sana zaidi ata ya Kiba na Diomond Ila tofauti yao ipo ktk janja ya management, walio ktk game watanielewa zaidi.
Acha siasa dogo, hao mameneja wa Diamond ndio mameneja wa kina Madee, Dogo Janja, Chegge, Temba, Yamoto Band. Je hao wote kwanini hawawi kama Diamond?
 
Ni wimbo mzuri sana, naupenda sana. Ila kwa range ya usikilizwaji kwa Africa unastahili? Je kwa hapa Bongo ikishindanishwa na nyimbo nyingine itaweza penya? Je kama tuzo hizi zilikuwa na kwa mfumo wa kupigiwa kura Je ni kweli ulipigiwa kura na nchi zote Africa au hapa zaidi na nchi jirani?
Tatizo wabongo hamuelewi kuhusu kura.
Tuzo za kimataifa upigaji wa kura unamchango mdogo sana kwenye kuamua mshindi, tuzo kama mtv mama, mtv ema na afrima upigaji wa kura unachangia ushindi kwa 30% tu, asilimia zilizobaki mshindi anachaguliwa na academy ndo maana unakuta wakina wizkid huwezi sikia akiomba kupigiwa kura,
Wabongo mmekaririshwa na ktma kuwa kura ndo kila kitu
 
hongera mond kwa kutuletea tuzo!
Wale wanakulinganisha na wengine rudi sasa tuwarambishe ndimu
 
Tunzo 3 ni hat trick (kwenye soccer) mara ya 3 hii anashinda tunzo tatu kwa pamoja.

*2012 - Kili awards
*2014 - Channel O awards
*2016 - Afrimma Nig Awards

2018 - Diamond ongeza juhudi zaidi Inshallah utapata tunzo 3 nyingine, kupitia hesabu za sequence and series in mathematics.
---Hongera sana Diamond Platnumz
Hata mwaka jana alichukua hatrick afrima yaan wa nigeria wanamjua diamond tu ndo msanii pekee wa Tz
 
niliingia kwenye group la vijana wa KINSHASA DR CONGO, linaitwa KINSHASA MAKAMBO.COM kuna jamaa alipost picha ya Diamond na kuuliza '' donner moi le nom de cette artiste tanzanien qui fait la fierite de son pays? a vs clavier. wengi wanamjua na mmoja aka comment '' kashishi kashuta diamond. mwingine '' bado bado'' hahaha
 
Je utanipenda kiuhalisia ni song of the year ? Nimpongeza kwa kunyakua tuzo hizo
je utanipenda ni mziki mzuri sana
kwanzia sauti zake
na ujumbe pia
ujumbe kama ule msanii kuufikiria inakua kazi sana..
halafu isitoshe akaweka na substittle kwenye wimbo za kingereza kwahiyo wakasoma wakaona ujumbe.
 
je utanipenda ni mziki mzuri sana
kwanzia sauti zake
na ujumbe pia
ujumbe kama ule msanii kuufikiria inakua kazi sana..
halafu isitoshe akaweka na substittle kwenye wimbo za kingereza kwahiyo wakasoma wakaona ujumbe.
Hizi technic za kuweka vitu kama subtitle kwenye nyimbo za hisia ndo mond anapawpigia wenzake gap yupo makini sana
Wengine wanabaki kulia lia
 
hebu niwekee link diamond aliofanya show uganda? diamond kenya anajaza watu maana huwa anaenda show za bure sio kwamba watu wanalipia mashow ya promotion hata eddy kenzo angejaza usitufanye wajinga hapa
hahaha! diamond akienda Uganda hakuna ukumbi utakaotosha zaidi ya kiwanja cha mpila bi Dada
DIAMOND PLATNUMZ LIVE SHOW IN UGANDA LUGOGO STADI…:
 
Hasira za nn jamani ukweli msiambiwe wasanii wenu kila kitu wana desa kwa mond katoa salome kavaa mavaz ya ki naija ona sasa ommy msambwanda nae eti katoa video kavaa ki naija bila diamond hakuna bongo fleva kama vile bongo movie na pengo la kanumba haliji zibika kanumba alipanua wigo akaanza kutoka nje ya nchi huko maskin waliobaki saivi wanambwela tu kila mtu ziiii msijifanye hamuoni bongomovie ilivo mbwela narudia tenaaa bila diamond kizazi kipya hiki no bongo flavor mnasafiria nyota yake mnakaa chaka mnagezea eti mnatoka vifua mbele diamond is diamond in tz hakuna wa ku compare na mnaosubir ashuke kama mmesimama tafuteni viti mkae maana anasafari ndefu mpaka aje chibujr akue ndo amwachie kiti cha ufalme.
 
Back
Top Bottom