Anaconda ilivunja rekod ya kuangaliwa Mara 19Million KWA masaa24...ilivunja rekod ilyokua imashikiliwa na Miley Cyrus We Can't Stop ambayo iliangaliwa mara 15M KWA 24hrsUnashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Kiba jeUnashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Ukiona wafanya kazi wamevaa mabuti na makofia, moshi unatoka juu ya majengo ndo unajua hicho ni kiwanda?Tanzania ya viwanda ngumu kupatikana ikiwa vijana wanawaza muziki tu
mkuu sasa we haujui kama mziki unalipa zaidi ya kuajiliwa kwenye viwanda hivy nakulipwa 5000 kwa sikuTanzania ya viwanda ngumu kupatikana ikiwa vijana wanawaza muziki tu
Watu kama wewe ndo mnasababisha muziki WENU uendelee kuwa bado sana...Inaitwa Anaconda... Bongo bado tunasifia viewers laki mbili...
Wakati wenzetu viewers mpaka 1b wanafikisha, muziki wetu bado sana!!
Hahaha uwiiiiiiiTulianza na Ally kiba, tukaja na Davido, akatuambia hana shida na kura zetu hana shida na shobo zetu,tumshobokee2 mond mana atatufikisha mbali.
Tukaumbuka mi tanzania.
Tukarudi kwa Ally tena but kwa bahat mbaya tena hakuwa mshindani wa mond tena.
Tukakimbilia kwa wizz kid haijamariza hata miezi tushaanza kumfananisha mond na Nick minaj.
cjui ally anajiakiaje kuona ye afananishwi tena na chibu
Nick is not equal with DiamondUnashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Pumba kweli wwUnashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
We na weeee[emoji57] [emoji57] [emoji57] kutuharibia uzi tuuuuUnashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Hahahahahahaha!! Daaaahh you made my day mkuu..Ili mradi tu ujichanganye na sisi tulio na akili, toka huko.
Woooow thanks! I didn't notice thatmimi penda sana TZ 1964 WCB
hongera kijana!!!!!
Hahahahahah!! Muekeweshe aisee, amekariri maishaUkiona wafanya kazi wamevaa mabuti na makofia, moshi unatoka juu ya majengo ndo unajua hicho ni kiwanda?
SimbaaaaaaaaaaaaaaaUjio mzuri maana hizi ndio nyimbo za soko la Africa na zenye kuleta tuzo.......kwenye je utanipenda ulikuwa ni wimbo mzuri ila unategemea zaidi kuelewa lugha vinginevyo utaona picha picha tu na ndio maana haukuleta tuzo kama Nana na nyinginezo.
Sasa ni muda mwafaka wa kupasua anga zaidi na kuzidi kuleta heshima nyumbani, amezidi kudhihirisha kuwa yeye niiiiiiiii............
YangaaaaaaaaaaaaaaaaaaSimbaaaaaaaaaaaaaaa