Diamond platnumz aweka record mpya

Diamond platnumz aweka record mpya

Alafu kumbukeni hapo team kiba na wema na jokate hawaendi kuview wanaogopa kuongeza viewers, wanasubiri waukute unazurura zurura kule kariakoo ndio waukalie kitako sasa wauchambue, hamshangai why mpaka sasa kwanini hawaanzisha uzi wa kuuponda? Bado hawajauona, Utubu wanataamani kwenda lakini wakikumbuka wataongeza viwers, they be like aaaaaangrrrrr!
 
Unashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Acha kumlinganisha minaji na mambo ya kijinga...
 
Alafu kumbukeni hapo team kiba na wema na jokate hawaendi kuview wanaogopa kuongeza viewers, wanasubiri waukute unazurura zurura kule kariakoo ndio waukalie kitako sasa wauchambue, hamshangai why mpaka sasa kwanini hawaanzisha uzi wa kuuponda? Bado hawajauona, Utubu wanataamani kwenda lakini wakikumbuka wataongeza viwers, they be like aaaaaangrrrrr!
😀😀😀😀😀
 
heshima ni kitu ya bure mondi umetisha ila kiba anaimba mziki mtamu nmeona mboga saba anaaimba kama hataki all in all mziki wa tz umekuwa sasa
 
Unashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
We umbwa..Nick Minaj na bongo wp na wp?Kijana kibongo bongo anajitahid pussi wahed manina zako.
 
Unashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Sasa naanza kuelewa kwanini mchina alipata "B" ya kiswahili na Mwajuma akapata "F"
 
Inaitwa Anaconda... Bongo bado tunasifia viewers laki mbili...
Wakati wenzetu viewers mpaka 1b wanafikisha, muziki wetu bado sana!!
ni shida sana. viewers laki 2 tunaona dilii, wakaangalie wakina U2,Linkin park, the black Eyed pease n.k wane wana viewers wangapi
 
Unashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
Team kibaaa utamjuaa tu poleee
 
Kwa mtindo huu AJE itaendelea kutamba sana
Kwanza wimbo wenyewe kama wa p sqwea sioni alichoimba diamond
 
Unashaangaa hii..... viewers laki 3 ndani ya masaa zaidi ya kumi.....
Nicki minaj alikuwa na viewers zaidi ya Million 2 ndani ya masaa mawili katka ile nyimbo yake sijui gani vileeee...... dah nikumbushe mdau ile wanayocheza cheza porini huku chura wakiwa nje,hahaa ni noma
anaconda
 
ni shida sana. viewers laki 2 tunaona dilii, wakaangalie wakina U2,Linkin park, the black Eyed pease n.k wane wana viewers wangapi
tunaongelea africa music industry ambapo kupata viwers youtube sio kitu rahisi
 
Mimi si mpenzi sana wa nyimbo hizi za kidunia, lakini dogo anajitaidi sana. Hongera kwake
 
Back
Top Bottom