Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Chidi Benzi kila akijaribu kuinuka anaanguka tena,Ray c,Ngwea(R.I.P),Mifano iko mingi sn,.ukishaingia uko usposanuka unapotea mazima[emoji22]
 
Wewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.

Kinachomfanya diamond achoke ni hard worker yake hapati muda mwingi wakupuumzika juzi tu kaenda kufanya show Kenya kaperform masaa ma3 jukwaani kesho yake ambaye ni jana karudi tz kaenda kufanya show kahama nakaperform masaa ma3 tena kamaliza show alfajiri akitoka hapo anarudi tena kuendelea na majukumu ya media yake na kusimamia label yake ya Wasafi hivi mnazani kuendesha vitu vingi kwa pamoja ni kazi ya kitoto? Hivi The Undisputed hivi hawa wanaelewa hivi vitu kweli?
Nimejaribu kukuelewa kwa kitu umeandika hapa lakini nimeshindwa. Umechanganya mno maneno na hata mfumo wa uandishi wako ni wa kurundika mno maneno.

Nilitamani labda ungeweka maoni kwa sauti labda ningeelewa, lakini ndiyo hivyo hapa bado hatujapata huduma hiyo.

Lakini, jambo la kufanya ni kutulia na kushusha hasira wakati wa kuandika ili sote tukuelewe, lakini sivyo hivi ndugu yangu. Naomba ufafanue tena.

Ova
 
Sasa mtu amekutolea mfano wa mwanamuziki mkubwa ambaye aligundulika kutumia madawa ya kulevya mwishoni kabisa mwa taaluma na maisha yake, unaulizia indicators kwa Diamond ambaye ndio ameanza kutumia?

Ndio maana ya huu uzi inapokuja sasa.
Waungwana hatutaki Diamond afikie huko, tunatoa tahadhari kabla ya mambo kuharibika… before it’s too late!
Afadhali b... umenielewa, tena mstari wa mwisho nimesisitiza dalili za wazi zilionekana kwenye show yake ya mwisho lakini anarudi palepale tena.

Kuna shida moja kwenye jamii yetu, wengi wetu wanadhani mjadala ni kufanya ubishi tu. Kwa hiyo kila hoja ikiletwa mtu hajielekezi kuelewa ila kutafuta pa kubishania.

Hili ndilo tatizo ninaloliona hapa. Ila waelewe kuwa, tatizo la dawa za kulevya ni zaidi ya utani wa timu za mashabiki wa wanamuziki.

Ova
 
Ninachofahamu na kuelewa tu ni kwamba for an artist it's not an easy job staying at the heels, fame and wealth ili uweze kuvi-maintain ji lazima uwe mentally perfect na ndio maana cases nyingi za top artists kutumia ngada sio breaking news tena, limekuwa jambo la kawaida.
 
Kama vile wewe na mimi tulivyoumbwa hata malaya na mateja ni watu kama sisi.

Umaharufu bila Hekima ni Sumu Maishani.
Tusiwatenge kwenye kuwaambia ukweli ili wabadilike..

Sio Mond tuu... wasanii wengi kwa sasa ndio starehe yao.. na hiyo inatokana na kuigana maana hawaishii kwenye nyimbo tuu mpaka life style wanaigana.

Amin kama kuna wasanii watakaothibitisha Mond anabwia, wengi watamuiga wakiamini ndicho kimfanyacho awe juu. maana kwa tasnia ya mziki wetu... Bora kujulikana kuliko Kuheshimika na ndipo tatizo linapokolea.
 
Afadhali b... umenielewa, tena mstari wa mwisho nimesisitiza dalili za wazi zilionekana kwenye show yake ya mwisho lakini anarudi palepale tena.

Kuna shida moja kwenye jamii yetu, wengi wetu wanadhani mjadala ni kufanya ubishi tu. Kwa hiyo kila hoja ikiletwa mtu hajielekezi kuelewa ila kutafuta pa kubishania.

Hili ndilo tatizo ninaloliona hapa. Ila waelewe kuwa, tatizo la dawa za kulevya ni zaidi ya utani wa timu za mashabiki wa wanamuziki.

Ova
H... mashabiki wanaleta ushabiki ktk suala serious. Sasa hivi mjadala umehamia kwenye chanzo cha habari yangu hii. Wanasahau mimi sikuleta hii kishabiki, ndio maana sikutaka kuweka viashiria vya yeye kutumia hayo madawa.

Lakini, wala siombei muda ulete majibu. Nia yangu ni ya dhati juu ya muhusika, abadilike.
Hii haikuwa thread ya kubishana kabisa, inasikitisha.
 
Umeandika kauzi karefu boss
Ungeandika diamond acha unga angekusikia

Lakini sidhani kama yuko huku kwa kweli

Mtu anatapeliwa kuuziwa ndege ambayo hata kuificha kwenye mfuko huwezi ataweza kushinda na ma great sinker kweli😁😁😁😁

Nimependa pia ulivomaliza umeandika jina lako as ifu kwenye ID yako wameandika "agwenkulu" sio nifah
😁😁👍🏽
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Uko sahihi.
Lakini kwa kukusaidia,
Kila jambo na wakati wake.
THE END.
 
Umeandika kauzi karefu boss
Ungeandika diamond acha unga angekusikia

Lakini sidhani kama yuko huku kwa kweli

Mtu anatapeliwa kuuziwa ndege ambayo hata kuificha kwenye mfuko huwezi ataweza kushinda na ma great sinker kweli😁😁😁😁

Nimependa pia ulivomaliza umeandika jina lako as ifu kwenye ID yako wameandika "agwenkulu" sio nifah
😁😁👍🏽
Unaonekana una maneno mengiiiii halafu akili ndio huna. Unachokisema unakipinga mwenyewe.

Kama umependa acha nikufurahishe zaidi...

Nifah
 
Unaonekana una maneno mengiiiii halafu akili ndio huna. Unachokisema unakipinga mwenyewe.

Kama umependa acha nikufurahishe zaidi...

Nifah
Mkuu😁😁😁
Akili yawezekana sina ila sijafikia level ya kuamini habari nyeti kama hizi habari za madawa ya kulevya kwa "chanzo ninachokiamini" huu ni udunduka mtakatifu na kwa kweli hujafikiria vizuri kujihakikishia taarifa kwa style hio

Mkuu😁
Na mimi tena ndo nina maneno meengi
Umeshasahau umeandika paragraph kibao kwa ajili ya staa au niseme selebrity who chances za yeye kuiona are slim to none

Mkuu😁
Hili la jina bado napenda unavoandika mwishoni pengine hujui kabla hatujasoma inamtambulisha muandikaji ni nani

Anyway don't bother kumjibu mtu asiye na akili

Agwenkulu
 
Wewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.

Kinachomfanya diamond achoke ni hard worker yake hapati muda mwingi wakupuumzika juzi tu kaenda kufanya show Kenya kaperform masaa ma3 jukwaani kesho yake ambaye ni jana karudi tz kaenda kufanya show kahama nakaperform masaa ma3 tena kamaliza show alfajiri akitoka hapo anarudi tena kuendelea na majukumu ya media yake na kusimamia label yake ya Wasafi hivi mnazani kuendesha vitu vingi kwa pamoja ni kazi ya kitoto? Hivi The Undisputed hivi hawa wanaelewa hivi vitu kweli?
Mkuu, Shows kweli hawezi mtu kuperform kwa niaba yake ila sio majukumu ya kiutawala. Kwani akiwa amesafiri majukumu yake ya ukurugenzi huwa hayana kaimu? Hadi atoke kwenye shows zote hizo aje afikie kwenye majukumu ya ukurugenzi moja kwa moja bila kupumzika mpaka inapelekea afya yake kuzorota?
 
Umeandika kauzi karefu boss
Ungeandika diamond acha unga angekusikia

Lakini sidhani kama yuko huku kwa kweli

Mtu anatapeliwa kuuziwa ndege ambayo hata kuificha kwenye mfuko huwezi ataweza kushinda na ma great sinker kweli😁😁😁😁

Nimependa pia ulivomaliza umeandika jina lako as ifu kwenye ID yako wameandika "agwenkulu" sio nifah
😁😁👍🏽
Cc: Ironbutterfly 🙂
 
Mkuu, Shows kweli hawezi mtu kuperform kwa niaba yake ila sio majukumu ya kiutawala. Kwani akiwa amesafiri majukumu yake ya ukurugenzi huwa hayana kaimu? Hadi atoke kwenye shows zote hizo aje afikie kwenye majukumu ya ukurugenzi moja kwa moja bila kupumzika mpaka inapelekea afya yake kuzorota?
kaimu lazima awepo lakini haimzuii yeye kutekeleza majukumu yake ya mkurugenzi
 
Back
Top Bottom