Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto na Nandy wahojiwa na Polisi kwa kusambaza video za faragha, wapewa dhamana...

Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto na Nandy wahojiwa na Polisi kwa kusambaza video za faragha, wapewa dhamana...

Kwa mujibu wake Waziri Mwakyembe sasa hivi akijibu swali la Nyongeza la Mbunge Mlingwa huko Bungeni Dodoma.

Kwa kauli yake mwenyewe Waziri husika Dr. Mwakyembe amesikika akisema kwamba tokea jana Msanii Diamond pamoja na mwenzeke Nandy wamekamatwa na kwenda Polisi kwa Mahojiano zaidi kutokana na Video zao ambazo hazina ' maudhui ' ya Kimaadili kwa Watanzania.

Kazi ipo mwaka huu hakyanani.

Nawasilisha.

Naungana na serikali wadakwe tu ule uchafu kabisa isitoshe diamond kioo cha jamii na ana familia kutwa analandana na mama yake kila kona hamuogopi mama yake yale matukio ukiacha watoto alaonao? staha kidogo iwepo hasa mama yake anaisha nae kama msela wake kosa
 
Mwakyembe amesema kuna baadhi ya wasanii ambao walianza kufanya uhuni ndani ya mitandao akiwemo mwanamuziki nyota wa muziki, Diamond ambae tayari amekamatwa na Jeshi la Polisi na anahojiwa kutokana na picha alizozungusha.

Pia Mwakyembe amesema pia imebidi binti Nandy naye akamatwe kisha kuhojiwa na wanaangalia namna ya kuwapeleka mahakamani.

Mwakyembe ametoa wito kwa vijana kuwa mitandao sio kokoro la kupeleka uchafu wote ambao umezuiwa na sheria zingine na nchi ina utamaduni wake ambapo inahitajika kulindwa kizazi cha sasa na cha kesho cha Taifa hili.

Akiuliza swali, mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga alitaka kujua kauli ya serikali juu kukithiri kwa ushoga na kutukana matusi mithili ya bomu la nyuklia ambayo sio maadili ya mtanzania na team za matusi ikiwemo za Wema, Zari, Diamond na Shilole.

Mwakyembe amesema sheria ya EPOCA ilitungwa mwaka 2010 lakini zilikosekana kanuni za kubana maudhui hasa upande wa mitandao. Amesema kanuni zimeshatungwa na zimeanza kufanya kazi.

MTU mweusi,shida sana,yaani tunapoteza rasilimali za Serikali,kushughurika na video chafu za wasanii,!!!
Hili swala ingeachiwa basata iwaite iwapige faini basi,sio swala la kuongelea mjengoni?

Kama maadili,yalikufa tangu enzi za mereremeta,kiwila,ambayo mzee baba alijimirikisha,escrow,Richmond,
Badala ya kuuliza maswala magumu kama,wasiojurikana wa Tundu lisu wapo wapo?,unauliza kuhusu kwichi kwichi za diamond,kama mnaona wivu,nendeni awapige na muhogo wa ja'ngombe,
Dar mafuriko kila kona,mikopo ya elimu ya juu haitoshi,ajira hakuna,Kilimo hakituripi,
USA anauza nyama China,sisi tunashindwa nini kuuza SA,SADC yote?
Yaani tumeshindwa hata kutatua tatizo la mafurikovJangwani,tatizo nimeanza kulisikia tangu 1990s,yaani wahandisi wote wa ujenzi,hakuna ambaye anaweza kuleta project ya kutatua shida hii,hizi story kwamba watu wamejenga kwenye mkondo wa MTO ni za kitoto,karne hii kuna inchi ilisukuma maji ya bahari ili kupata ardhi ya kufanyia kilimo,China wanajenga visiwa baharini,sisi tuna shindwa kuzuia maji yasiende kwenye makazi ya watu,
Mpaka Leo tunajiuliza tufundishe kwa kiswahili au Kiingereza,hoja sio aina ya lugha,Tatizo letu hata tukifundisha kwa swhili,kama hakuna waalimu wazuri,tutafeli tu,maana kama ishu ni lugha mama,mbona hata hicho kiswahili,watoto wanafeli tu.
Tuongeze lugha,mtoto akimaliza darasa la saba,aweze kupiga,vizuri kiingereza,kifaransa,Ki China,
Kwa ufupi hatujawahi kufundisha kiingereza vizuri kwenye shule za msingi za umma,kingefundishwa vzr,tusingepata shida watoto wakienda secondari,
Tuache kuwaza mambo ya faragha ya vijana,tuwaze mambo mazito
 
Mwakyembe amesema kuna baadhi ya wasanii ambao walianza kufanya uhuni ndani ya mitandao akiwemo mwanamuziki nyota wa muziki, Diamond ambae tayari amekamatwa na Jeshi la Polisi na anahojiwa kutokana na picha alizozungusha.

Pia Mwakyembe amesema pia imebidi binti Nandy naye akamatwe kisha kuhojiwa na wanaangalia namna ya kuwapeleka mahakamani.

Mwakyembe ametoa wito kwa vijana kuwa mitandao sio kokoro la kupeleka uchafu wote ambao umezuiwa na sheria zingine na nchi ina utamaduni wake ambapo inahitajika kulindwa kizazi cha sasa na cha kesho cha Taifa hili.

Akiuliza swali, mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga alitaka kujua kauli ya Serikali juu kukithiri kwa ushoga na kutukana matusi mithili ya bomu la nyuklia ambayo sio maadili ya mtanzania na team za matusi ikiwemo za Wema, Zari, Diamond na Shilole.

Mwakyembe amesema sheria ya EPOCA ilitungwa mwaka 2010 lakini zilikosekana kanuni za kubana maudhui hasa upande wa mitandao. Amesema kanuni zimeshatungwa na zimeanza kufanya kazi.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila magazeti ya udaku na uchafu wote yanayoandika yanaachwa
 
Mwakyembe amesema kuna baadhi ya wasanii ambao walianza kufanya uhuni ndani ya mitandao akiwemo mwanamuziki nyota wa muziki, Diamond ambae tayari amekamatwa na Jeshi la Polisi na anahojiwa kutokana na picha alizozungusha.

Pia Mwakyembe amesema pia imebidi binti Nandy naye akamatwe kisha kuhojiwa na wanaangalia namna ya kuwapeleka mahakamani.

Mwakyembe ametoa wito kwa vijana kuwa mitandao sio kokoro la kupeleka uchafu wote ambao umezuiwa na sheria zingine na nchi ina utamaduni wake ambapo inahitajika kulindwa kizazi cha sasa na cha kesho cha Taifa hili.

Akiuliza swali, mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga alitaka kujua kauli ya Serikali juu kukithiri kwa ushoga na kutukana matusi mithili ya bomu la nyuklia ambayo sio maadili ya mtanzania na team za matusi ikiwemo za Wema, Zari, Diamond na Shilole.

Mwakyembe amesema sheria ya EPOCA ilitungwa mwaka 2010 lakini zilikosekana kanuni za kubana maudhui hasa upande wa mitandao. Amesema kanuni zimeshatungwa na zimeanza kufanya kazi.

Ben kinyaiya je ???? Au ndio yule mupe yure muruke
 
Jinga sana haka kajamaa kameshajiona labda ni maarufu sana kanafanya kila ya ujinga na kiburi...bora wakashughulikie...
 
.
IMG-20180417-WA0054.jpg
 
unawezaje kumkamata mtu ambaye ana sauti kuliko wewe mwenye zamana... ana bishana na mawaziri kila leo... ana tokelezea ktk mikutano ya uzinduzi ya mh. yupo pamoja na DAB... una wezaje kumkamata huyo mtu kirahisi... kama sio kamchezo furani ni nini
ndio maana lile choko lina jeuri..sasa serikali inabid ionyeshe mkono wake..ai kuendekeza sifa..huyo dogo ananiona mjanja sababu ya makonda..ss makonda ndio anamtuma au...aache ungese pesa zina.mwsho ...pesa inamtia jeuri
 
Mnajaribu kututoa kwenye report ya CAG. Only Mazwazwa will shobokea this
 
Back
Top Bottom