Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
ila kuna....Hamna kesi hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila kuna....Hamna kesi hapo.
kale ka... hahaha weeWangewaweka hata wiki nzima
Kale ka Hamissa kweli hakajitambui
Mungu aninyime vyoote lkn akili ya kupambanua jema na baya asininyime
Danganya Toto.ila kuna....
Hahahahaha Jose tulia basi unajua kuna vitu vinakukera hadi unatamani umtandike makofi mtukale ka... hahaha wee
Kwani dhamani ni lazima uwe ushafikishwa mahakamani au???????Danganya Toto.
dhamana hata mahakamani hawajafika?
Hyo kesi ikiendelea.Kwani dhamani ni lazima uwe ushafikishwa mahakamani au???????
KWA KWELIHahahahaha Jose tulia basi unajua kuna vitu vinakukera hadi unatamani umtandike makofi mtu
AISEEDanganya Toto.
dhamana hata mahakamani hawajafika?
Kiruuuuuuuuu [emoji113] [emoji113] [emoji113]Hyo kesi ikiendelea.
Nitag.
Nimemaliza
as long as hakuna wa CDM itaishia hewaniHyo kesi ikiendelea.
Nitag.
Nimemaliza
Waandishi Wa habari wamekosa picha ya diamond akikamatwa na kuachiwa na polisi.as long as hakuna wa CDM itaishia hewani
Daudi alikufa au anaishi. ....mond anaishi au amekufa?Waandishi Wa habari wamekosa picha ya diamond akikamatwa na kuachiwa na polisi.
Tumeambiwa tu juu juu.kwamba diamond kakamatwa.na sasa kaachiwa.
KIFO CHA DAUDI BALALI.
thubutuuúuu hapo fain haizidi lako tanoSio siri diamond inabidi apewe funzo kwa kula hata miez mitatu jela mana jamaa amejipa nafasi ya kufanya ujinga wowote hapa nchini afu kwenye interview anajiita kioo cha jamii.
hapo sasa ndo najiuliza wabongo wanalana hadi ku kiss tu shida ...Diamond ile ni ya utupu kweli
IndeedDomo naye kazidi kujitoa akili..acha wamshikishe adabu
Kwani lazima muone picha?Waandishi Wa habari wamekosa picha ya diamond akikamatwa na kuachiwa na polisi.
Tumeambiwa tu juu juu.kwamba diamond kakamatwa.na sasa kaachiwa.
KIFO CHA DAUDI BALALI.