Ndo mana hawajawa level za diamond , hzo level zinahtaj ufanye visa vya hapa na pale....ukiwa normal na mambo yako yanakuwa normal...Diamond kachamgamsha biashara ya mziki hapa bongoHuwa nawakubali sana FA na AY muda mwingi wapo simple kuanzia lifestyle, mavazi hata unywaji. Hawanaga ushamba mwingi kwenye appearence.
Mwenzio yupo US wewe upo insta hamuoni kwamba mnatakiwa kupimwa akili? Nauli ya kwenda na kurudi tu US kwenu ni mtaji. Wabongo tafuteni shughuli ya kufanya kuliko kufuatilia maisha y watu
Nmechekaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Instagram from kwa mpalangee[emoji23][emoji23][emoji23]
Mnapenda sana kudandia mambo aisee,Billion 5 unaijua ww au unaongea tu!!Akiwa marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.
Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald โMaskโ Tourbillon
Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.
View attachment 1840791View attachment 1840792View attachment 1840793
Tukubali tu Diamond ni next level! Mhusika tumuulize project yake yeye ni ipi? Kama hata ana baiskeli!!Hahhahaha
Mtu anamponda wakati yeye kwenda hapo
Burundi mtihani
Ova
Ni wajuzi kitu gani kinacho reflect ujuzi wao?Ni wajuzi wa vitu OG kama anavyovaa davido, burna boy na swizzbeats siyo vile feki vya msanii wetu[emoji16]
Hapa watamponda Sadala ila kesho unaweza ukakuta wao wanalilia kufanya Collabo na Wiz.
Fani zake "ushasema Fani basi lazima uwe certified ktk hiyo fan ".Sasa mm mpaka sasa sijaona utalaam wao.Kila mtu ana fani zake mkuu kama unapinga nenda kwa mtandao wao na facts zako ukapingane nao. Ila jamaa wako very deep kwenye mambo hayo
Atuambie yeye kafanya nini,ana nini?Tukubali tu Diamond ni next level! Mhusika tumuulize project yake yeye ni ipi? Kama hata ana baiskeli!!
Sijajibu nini nimekuuliza wapo certified?.Utajiju babu [emoji706][emoji706]
Atakataaje sasa na yeye anataka kufit inHivi mond anakula blessed leaf? Nimeona picha moja anapokea kwa wiz khalifa
Josefu" umezaliwa mwaka 1989... ni vyema ukaanza mipango ya kuhama nyumbani kwa wazazi.Fani zake "ushasema Fan basi lazima uwe certified ktk hiyo fan ".Sasa mm mpaka sasa sijaona utalaam wao.
Inaweza kuwa kweli maana Mayweather amenunua saa ya almasi japani Kwa USD milioni 18........SASA hapo kibongo bongo si tayari mtaji WA kampuni na wafanyakazi lundo ...........lakini yeye kanunua saa moja tena hata MKONONI aijai vizuri๐๐๐๐๐Saa Billion 5!? Au typing errors!?