Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili za yule bwana wala haoni hata kama amekosea.Baba levo alitakiwa awaombe msamaha na wanawake pia kwa kuwadhalilisha.
Watajuana wao wenyewe na upumbavu wao huko WCB.
[emoji23][emoji23][emoji23]kitakachoendelea hapo ni uzinzi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na vile bosi kamsamehe ndo kabisaaKwa akili za yule bwana wala haoni hata kama amekosea.
Halafu kuna wadhamini kibao wamejitokeza pale.chibu ni mtu wa fursa sana, imagine hadi makosa ya wafanya kazi anayafanya fursa ya kujibrand
huyu jamaa anaijua biashara hadi anawakera wenzakeHalafu kuna wadhamini kibao wamejitokeza pale.
Kwa hiyo wakatae kwenda kupiga seminar for 7 days na kuvuta posho ya 120,000 per day?Ukisikia dharau za mtu unamdai lakini ndo kwanza anazidi kunenepa ndo hizi wanazofanya Wasafi!
TCRA msikubali, hawa madogo hawawezi kuwaletea dharau namna hii bhana! Yaani mnawapiga ban lakini badala ya kusikitika ndo kwanza wanaenda kula bata na kuwaoneshea live, aaaaaaaaaargh!!!
Wewe mwanaume kijiba cha roho kitakupa pressureWatajuana wao wenyewe na upumbavu wao huko WCB.
Wee mwanamke kijiba cha roho kitakupa pressure.Wewe mwanaume kijiba cha roho kitakupa pressure
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na vile bosi kamsamehe ndo kabisaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukisikia dharau za mtu unamdai lakini ndo kwanza anazidi kunenepa ndo hizi wanazofanya Wasafi!
TCRA msikubali, hawa madogo hawawezi kuwaletea dharau namna hii bhana! Yaani mnawapiga ban lakini badala ya kusikitika ndo kwanza wanaenda kula bata na kuwaoneshea live, aaaaaaaaaargh!!!